TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia

CCM mna roho mbaya sana inawezekana kumsaidia Lisu ndio kimemponza.
Kwa haya yanayoendea unaweza kuwaza haya, WA Kwanza Makonda, Kwa kusababisha risasi zaidi ya tatu kushinda kuua, SASA Mr White Kwa kufanya connection ndege kupatikana haraka. πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
 
Kama umefika zenji na kama uliona magari plate namba imeandikwa Mr white basi mwenyewe ndiye huyu
R. I. P Mr white

Ova
 
Rest in paradise Salim Turky
 
R.I.P
Ndg. Salim Hassan Turky (MB).
Wanazanzibar watakukumbuka sana kwa utendaji wako uliotukuka ukiwa kama mtumishi Serikalini.
 
Pumzika kwa Amani Mheshimiwa Salim Turky. Wema hawadumu hapa Duniani. Utakumbukwa kwa mengi, zaidi mchango wako kwa Taifa hili.

Utaliliwa na Wanasiasa wote wenye mapenzi mema, kama ilivyo kwa Watanzania wa kawaida waliokufahamu na wengine kukusikia.
Mwenyezi Mungu akupumzishe sehemu salama, Amen.
 
RIP Mr White, ushiriki wako katika kuokoa maisha ya Kamanda Lissu hautasahauliwa. Mola awe nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…