Abuu Abdurahman
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,448
- 1,790
Kafariki leo usiku ghafla,juzi alikuwepo kwenye uzinduzi wa kampeni za Ccm Zanzibar.
Ukiona hivyo huyo anakuwa Mzanzibara!Wazanzibar wengi ni wacha MUNGU sema wanaharibiwa na CCM
"Pengine msaada ume mletea tatizo maan ulimuoko mwiba"Lissu hana shukrani aliendelea kuponda CCM hata Kama walimsaidia. Mbowe mwongo hakutoa chochote Hadi turky akawasaidia ndege ya rafiki zake akawahishwa Nairobi kwa matibabu zaidi Hadi leo kapona kwa msaada wa Wana CCM. Turky alitoa ndege alikuwa mbunge wa CCM chadema mlikuwa wapi?
Kabisa mkuuUkiona hivyo huyo anakuwa Mzanzibara!
Mataga bana sijui mmelogwaMpendae iko wapi?
Ndio muache roho mbaya hakuna aijuaye keshoGONE TOO SOON
Acha kunywesha watu sumu humu.Lissu hana shukrani aliendelea kuponda CCM hata Kama walimsaidia. Mbowe mwongo hakutoa chochote Hadi turky akawasaidia ndege ya rafiki zake akawahishwa Nairobi kwa matibabu zaidi Hadi leo kapona kwa msaada wa Wana CCM. Turky alitoa ndege alikuwa mbunge wa CCM chadema mlikuwa wapi?
R.I.P Turky,Mwana CCM aliyekuwa mzalendo,muungwana na mwenye huruma kwa binadamu wenzake bila kujalisha itikadi.Mwanasiasa mkongwe na mfanyabiashara maarufu Turk wa Zanzibar afariki dunia.
===
Mheshimiwa Salim Hassan Abdullah Turky, afariki dunia usiku huu akiwa hospitali ya Tasakhta global chanzo cha kifo chake inadaiwa kuwa aliugua ghafla. Swala ya maiti itafanyika leo Alasiri September 15 katika msikiti wa Othman Maalim na baada ya hapo atazikwa Fumba, Zanzibar.
Salim Turky alikuwa mfanyabiashara maarufu Zanzibar na mbunge wa jimbo la Mpendae tangu 2010, alizaliwa February 11, 1963. Mpaka anafariki alikuwa mwenyekiti wa makampuni ya Turky ambapo chini yake yalikuwa makampuni 12 yanayoendesha biashara zake Tanzania Bara, Zanzibar na visiwa vya Comoro.
Baadhi ya makampuni hayo yanajumuisha hoteli ya Golden Tulip, hospitali kubwa ya Tasakhtaa Zanzibar, pia ilijihusisha na biashara ya cement, Nitak communications, vyakula na mafuta.
Turks Group iliazishwa mwaka 1978 kama duka la nguo na ndugu wa familia moja ambao ni Salim, Murtadha na marehemu Yunus pamoja na baba yao, Hassan Turky na miaka 40 baadae wakalibadilisha kuwa moja ya makampuni yanayoongoza Tanzania.
Mwaka 2017 Lissu aliposhambuliwa kwa risasi, Turky alitafuta ndege iliyompeleka Lissu Nairobi na kuwa mdhamana wa deni la kukodi ndege iliyokuwa inamilikiwa na FlyghtLink ambao ni jamaa zake katika biashara.
Zaidi, soma:
= > Safari ya Lissu kuelekea Nairobi ilikuwa ni mateso na vilio, Spika Ndugai usitoneshe vidonda
= > Salim Hassan Turky: CHADEMA walilipia gharama za Ndege iliyomsafirisha Lissu
Kabisaaa usije kuta Hutu limefanya yake , Kama lilivyofanya kwa Mengi , Mafuruki na Mkapa.Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
Chadema wana utu? Tuambie ni jambo gani jema Chadema wameshawahi kulifanya katika nchi hii. Siyo wakati majanga wala chochote kile, salamu za pole tu mwiko kwao. Misiba hawahudhurii, hata misaada tu ya kibinadamu hawana.Huo ndio utu!! Utamaduni wa watz, toka enzi na enzi sio hao washamba ndio wamegeuza siasa kuwa ni uadui!!! Yaani kwa sasa mzungu/mwarabu anaweza kuwa na uchungu na mwana chadema apatapo majanga kuliko mwana ccm?!! Atakavyoguswa!!!