Abuu Abdurahman
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,448
- 1,790
Allah ailaze royo yake mahala pema
Turky alikua muungwana sana.
Katika Jimbo lake la Mpendae-Zanzibar, kiuhalisia ni jimbo la UPINZANI.
Mwakilishi kutoka Upinzani, Kura za Uraisi pia upinzani unaongoza kwenye Jimbo lake.
Lakini Nafasi ya Ubunge, Wananchi wanaweka siasa pembeni Turky anasimamishwa kwa Ushindi wa kishindo.
Turky alikua hana ubaguzi wa kisiasa, akitoa misaada anatoa kwa nyumba zotee bila kuangalia itikadi.
Akisaidia wajasiriamali hakuangalii itikadi yako ya Chama wala wapi Unatokea.
Hakika tukipata Viongozi mfano wa Turky tutakuwa mbali mnoo..
Turky alikua muungwana sana.
Katika Jimbo lake la Mpendae-Zanzibar, kiuhalisia ni jimbo la UPINZANI.
Mwakilishi kutoka Upinzani, Kura za Uraisi pia upinzani unaongoza kwenye Jimbo lake.
Lakini Nafasi ya Ubunge, Wananchi wanaweka siasa pembeni Turky anasimamishwa kwa Ushindi wa kishindo.
Turky alikua hana ubaguzi wa kisiasa, akitoa misaada anatoa kwa nyumba zotee bila kuangalia itikadi.
Akisaidia wajasiriamali hakuangalii itikadi yako ya Chama wala wapi Unatokea.
Hakika tukipata Viongozi mfano wa Turky tutakuwa mbali mnoo..