[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo hapa kwenye kisiwa cha marashi ya karafuu jioni nikaenada zangu barabarani kuzurura nikakutana na wauza samaki wa kukaanga sikuuliza bei maana huku bongo hua tunawanunua kwa buku ikizidi sana buku jero nikawagonga samaki watatu palepale nikamaliza natoa elfu tano ili nirudishiwe chenji niondoke nashangaa naambiwa pesa bado haitoshi eti nadaiwa buku mbili jero kwahio kila samaki mmoja alikua anauzwa 2500 dah mpaka nimechoka nilijua huku samaki niwakusaza
Hadi ikakusukuma kuleta thread huku[emoji1787][emoji1787]Nipo hapa kwenye kisiwa cha marashi ya karafuu jioni nikaenada zangu barabarani kuzurura nikakutana na wauza samaki wa kukaanga sikuuliza bei maana huku bongo hua tunawanunua kwa buku ikizidi sana buku jero nikawagonga samaki watatu palepale nikamaliza natoa elfu tano ili nirudishiwe chenji niondoke nashangaa naambiwa pesa bado haitoshi eti nadaiwa buku mbili jero kwahio kila samaki mmoja alikua anauzwa 2500 dah mpaka nimechoka nilijua huku samaki niwakusaza
Duka la kitimoto Zanzibar?! Si utauwawa?!Tatizo wameshikilia na Udini sana anzisheni na maduka ya Kitimoto vitoweo viwe vingi hizi Dini tumeletewa mnasikia nyie Wapemba acheni upimbi.
Kwahiy mtu akisema anaenda kusaka life zenji kayakanyaga???Zanzibar chakula ni ghali sana, Kuanzia mboga mboga, Matunda, Nafaka, Samaki
Mihogo haipooooWao wamezoea kula boflo na urojoo tuu au wali na mchuzi wa mbilimbi
Kwahiy kule life la utafutajii ni gumu??Ndio maana asilimia kubwa wanakula mlo Moja tu. So kwa kupenda Bali life ni gumu kule
Tunakula wenyeweNipo hapa kwenye kisiwa cha marashi ya karafuu jioni nikaenada zangu barabarani kuzurura nikakutana na wauza samaki wa kukaanga sikuuliza bei maana huku bongo huwa tunawanunua kwa buku ikizidi sana buku jero, nikawagonga samaki watatu palepale nikamaliza natoa elfu tano ili nirudishiwe chenji niondoke nashangaa naambiwa pesa bado haitoshi eti nadaiwa buku mbili jero kwahio kila samaki mmoja alikua anauzwa 2500 dah mpaka nimechoka nilijua huku samaki ni wa kusaza!
No gumu sana kama huna connectionKwahiy kule life la utafutajii ni gumu??