judey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 450
- 535
DuuhNo gumu sana kama huna connection
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuhNo gumu sana kama huna connection
Siyo kweli. Wavuvi wa samaki wa zanzibar wengi wanauza bara (Kunduchi, Bagamoyo, Tanga). Wakojani karibia wote wamehamia bara wamekimbia visiwani.Na kiasi kingi cha samaki hupelekwa Zanzibar kutoka Bara.
Umataka kwenda kujaribu?Duuh
Unadhani no Nini ki, ewakimbiza? Na inakuwa je wakimbie solo?Siyo kweli. Wavuvi wa samaki wa zanzibar wengi wanauza bara (Kunduchi, Bagamoyo, Tanga). Wakojani karibia wote wamehamia bara wamekimbia visiwani.
Soko la samaki wao pamoja na bei nzuriUnadhani no Nini ki, ewakimbiza? Na inakuwa je wakimbie solo?
Nina rafiki yangu mmoja huyo katoka huko alikuja bara kikazi sasaivi yupo mbeya..Ndio mana vikija bara vinanenepena mishavu tele..kumbe kwao maisha magumu sana.
Ndiomana umimi umewajaa..mana kwenye njaa hakuna umoja bali ubinafsi.
#MaendeleoHayanaChama
Kwahiyo Tanga Kuna bei nzuri ya samaki kuliko zenji?Soko la samaki wao pamoja na bei nzuri