Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Wanachama wa Yanga wapige kura Yanga ije halafu mnasema wananchi wamepiga kura ,hizi ni akili au matopeUjinga wenu siku zote hamkubaliki kushindwa ndegerec
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachama wa Yanga wapige kura Yanga ije halafu mnasema wananchi wamepiga kura ,hizi ni akili au matopeUjinga wenu siku zote hamkubaliki kushindwa ndegerec
ukisema ivyo kama hakuna mashahidi Makolo wanakuua na kula nyama [emoji851][emoji851][emoji851]Na wakiambiwa Yanga ni timu ya wananchi basi na waelewe
Wapi nimepanic?Sijui humo mtaani anaishije, jambo dogo tu lakini anapanic balaa
Acha kuumia kwa jambo lililo wazi Yanga ni timu ya wananchiMliwaalika brazil kusheheresha shuhuli gani?
Yanga imealikwa kama kikundi cha ngoma kwa ajili ya kusherehesha, hilo la mpira ni kama la ziada tu
kwahiyo MAZUZU 4000 ndiyo yaliwakilisha Utopolo ktk hiyo sampuli.Punguza povu nyoko wewe, hata research ikifanyika haihusishi raia wote inachukuliwa sample tu ya watu kadhaa wakiwemo wajinga kama wewe na werevu kuwakilisha kundi fulani.
daaaaaah.....umeongea kwa hisia sana mkuuMwanasoka yeyote anayejua mpira atajua club kualikwa kwa lengo la kusherehesha ni out of football ethics
Yanga ilikua inakila sababu ya kupita, na hata ingetokea imezidiwa kura ningeamini tu imehujumiwa
Kwasababu watu wameona wachezaji wa yanga wanaumuhimu kwenye hiyo sherehe kwakua waliwaona wakiimba kwenye siku ya mwananchi pale kwa mkapa
Simba haina record hiyo ya kuwa na wachezaji wa namna hiyo, ila yanga CV inawabeba na ndio maana hata ukiangalia wakongo wako vizuri kwenye kukata viuno
Kwa hiyo ifahamike kwamba yanga inaenda kuhusika kama bendi ya burudani kwenye shughuli huku iki represent jina la club ya mpira
kumbuka sio kila mzanzibar ana smartphoneYanga imeongoza kwa kura 4900 kati ya kura 5500, ni Nchi gani hiyo yenye wananchi 5500?
Halafu nchi gani hiyo ambayo wananchi wa club hiyo kwenye mitandao ya kijamii followers kwenye page ya timu yao hawazidi 1M?
Timu ya wananchi ni taifa stars, nyie mnajiita wananchi kama slogan tuAcha kuumia kwa jambo lililo wazi Yanga ni timu ya wananchi
Kwani followers wa yanga ni wazanzibar tu?kumbuka sio kila mzanzibar ana smartphone
Mkuu wanasiasa hawa.............itakua wanazani kila kitu ni siasaAliyetoa hizo taarifa amefanya makosa makubwa sana ya kiufundi.
Hata kama kulikua na upigaji kura na matokeo yakawa hivyo, hakukuwa na umuhimu wowote wa kuja hadharani kuyasema hayo.
Kwa kujua au kutokujua anaharibu mahusiano kati ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (waliokua na hiyo shughuli) na vilabu vingine visivyokua "Yanga".
Sijui kulikua na ulazima gani wa kuyasema hayo, lakini nadhani hajafikiria vizuri sana kuhusu kesho.
Kwani yanga inafanya vizuri?mkuu sasa kama taifa stars aifanyi vizuri