Zanzibar: Tuliialika Yanga SC baada ya kupata kura nyingi

Zanzibar: Tuliialika Yanga SC baada ya kupata kura nyingi

Mliwaalika brazil kusheheresha shuhuli gani?

Yanga imealikwa kama kikundi cha ngoma kwa ajili ya kusherehesha, hilo la mpira ni kama la ziada tu
Acha kuumia kwa jambo lililo wazi Yanga ni timu ya wananchi
 
Punguza povu nyoko wewe, hata research ikifanyika haihusishi raia wote inachukuliwa sample tu ya watu kadhaa wakiwemo wajinga kama wewe na werevu kuwakilisha kundi fulani.
kwahiyo MAZUZU 4000 ndiyo yaliwakilisha Utopolo ktk hiyo sampuli.

Halafu huna elimu ya kutosha kuhusu RESEARCH na maswala ya SAMPLE SELECTION. Siku nyingine usilitumie Tena hilo neno research. Kumbafu utopolo wewe.
 
Mwanasoka yeyote anayejua mpira atajua club kualikwa kwa lengo la kusherehesha ni out of football ethics

Yanga ilikua inakila sababu ya kupita, na hata ingetokea imezidiwa kura ningeamini tu imehujumiwa

Kwasababu watu wameona wachezaji wa yanga wanaumuhimu kwenye hiyo sherehe kwakua waliwaona wakiimba kwenye siku ya mwananchi pale kwa mkapa

Simba haina record hiyo ya kuwa na wachezaji wa namna hiyo, ila yanga CV inawabeba na ndio maana hata ukiangalia wakongo wako vizuri kwenye kukata viuno

Kwa hiyo ifahamike kwamba yanga inaenda kuhusika kama bendi ya burudani kwenye shughuli huku iki represent jina la club ya mpira
daaaaaah.....umeongea kwa hisia sana mkuu
 
Yanga imeongoza kwa kura 4900 kati ya kura 5500, ni Nchi gani hiyo yenye wananchi 5500?

Halafu nchi gani hiyo ambayo wananchi wa club hiyo kwenye mitandao ya kijamii followers kwenye page ya timu yao hawazidi 1M?
kumbuka sio kila mzanzibar ana smartphone
 
Aliyetoa hizo taarifa amefanya makosa makubwa sana ya kiufundi.

Hata kama kulikua na upigaji kura na matokeo yakawa hivyo, hakukuwa na umuhimu wowote wa kuja hadharani kuyasema hayo.

Kwa kujua au kutokujua anaharibu mahusiano kati ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (waliokua na hiyo shughuli) na vilabu vingine visivyokua "Yanga".

Sijui kulikua na ulazima gani wa kuyasema hayo, lakini nadhani hajafikiria vizuri sana kuhusu kesho.
Mkuu wanasiasa hawa.............itakua wanazani kila kitu ni siasa
 
Back
Top Bottom