Zanzibar turudishe heshima yetu, tuige mfano mzuri wa Qatar, pombe ipigwe marufuku kabisa

Zanzibar turudishe heshima yetu, tuige mfano mzuri wa Qatar, pombe ipigwe marufuku kabisa

Kuna kitu huwa kinashangaza kwa Waislamu kukomalia pombe kuwa dhambi hapa duniani wakati kwenye pepo yao Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao kwa mujibu wa Quran 85:17 [emoji2][emoji2][emoji2]
Dah inafikirisha sana
 
Soma Quran 47:15 inasema peponi Kuna mito ya ulevi kwa wanywao. Sasa pepo yao Kuna mito ya pombe, halafu duniani wanasema pombe Maarufu ni dhambi! Huu unafiki mtupu.
Hakuna mtu wa dini atusaidie hapa kaka mimi siamini am serious naona kama umetunga kaka
 
Tatizo kuu la Zanzibar ni CCM, walitakiwa waungane katika kuindoa CCM kwanza, hayo meengine baadae
 
Halafu wabantu pure weusi hamna hata mademu wazuri
Mademu wa kibantu wana jotojoto yaani ni watamu balaa, halafu ni watundu. Wazanzibari hata sio watundu, hawana joto kama lile la kibantu.
Hujawahi kukutana na wabantu pisi kali wewe[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom