Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
- #121
Majina ya hapa JF sio majina halisiUngeanza kwanza kwa kubadirisha majina yako ya kizungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majina ya hapa JF sio majina halisiUngeanza kwanza kwa kubadirisha majina yako ya kizungu.
Kasome Prohibition in USA, kama unajua English
Yote hayo chanzo chake ni ulevi, ulevi ni chanzo cha maovu yote dunianiNadhani UBARADHULI na kulawiti watoto wadogo ni janga kubwa sana kuliko ulevi
WaZabzibar inabidi mkomae mapema vinginevyo jamii ya WAVULANA watabadilika kuwa wasichana.
Tanzania bara hakuna wanaume wa kutosha na wanaume wa Oman kwa ubaguzi wao hawatawaowa Wazanzibari
Get your priority right
Ulisema neno USTA-ARABU unajua maana yake mdogo wangu????@ Johnny SackKurudisha maadili mema ni Uarabu?
Hilo neno tu, maneno mengi ya Kiswahili yana asili ya kiatabu, ama tuachane na Kiswahili pia sababu kina Urabu ndani yake?Ulisema neno USTA-ARABU unajua maana yake mdogo wangu????@ Johnny Sack
Mdogo wangu huo USTA-arabu unausema Zanzibar ulikuwepo uliletwa na waarabu na waajemi na washirazi wakati wanaeneza imani yao ya kiislamu kwa wabantu waliowakuta pale visiwani!!!Ebu nieleze utamaduni wa wabantu kabla hawajaja wageni wa bara arabu na kuviita hivyo visiwa Zenji-bar????Au historia wewe unaijua kwa kuanzia walipokuja hapo visiwani WARAABU?????Hilo neno tu, maneno mengi ya Kiswahili yana asili ya kiatabu, ama tuachane na Kiswahili pia sababu kina Urabu ndani yake?
Hayo unayoita maadili ya dini yaliletwa na waarabu!!!Je unajua maadili ya wabantu kabla wageni (Waarabu,Wahinndi,Wareno,WaajemiWajerumani,Waingereza)hawajaja visiwani hapo?????Hilo neno tu, maneno mengi ya Kiswahili yana asili ya kiatabu, ama tuachane na Kiswahili pia sababu kina Urabu ndani yake?
Dunia nzima imeozaSasa unachosema ni kweli, Zanzibar imeoza, lazima turudi kwenye maadili, hili linawezekana
Qatar wana utajiri mkubwa wa mafuta kwa hiyo wana jeuri ya kuringa na kukataa biashara zinazoingiza hela nyingi kama pombe.Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Wewe umeona "pombe" tu ndiyo dhambi?Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Mbuzi wa Vatikani ndiyo nani?Mimi naona tungeanza na huyu mbuzi wa Vatikani.🐷
Huu ndio unafiki wenyewe wa wazanzibari. Kukataa pombe wakati usiku mnafanya dhambi mbaya na chafu kuliko ya ulevi.Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Mna utamaduni gani mkuu wakati chakula chote mnachukua huku bara?. Mnachekesha kweli.Hao wachaga tutawatimua warudi bara ndio wanachangia kuharibu utamaduni wetu
Niambie maadili yaoHayo unayoita maadili ya dini yaliletwa na waarabu!!!Je unajua maadili ya wabantu kabla wageni (Waarabu,Wahinndi,Wareno,WaajemiWajerumani,Waingereza)hawajaja visiwani hapo?????
Huna akili kwani mwinyi na samia wanatoka wapi?Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Chakula hatupewi bure. Tunanunua ni kama wazungu wamavyonunua mafuta kwa waarabu na wana tamaduni zao tofautiMna utamaduni gani mkuu wakati chakula chote mnachukua huku bara?. Mnachekesha kweli.
Mbona unajichanganya mdogo wangu au hukunielewa nilichokuuliza!!!!Ebu soma tenaNiambie maadili yao
Kwa taarifa yako tu, miaka ya 1920 Marekani ambalo ni taifa la Wakristo wengi ilikuwa kuvaa nguo isiyovuka goti unakamatwa. Ilikuwa ni marufuku kuuza pombe
Sasa na wao ni Waarabu?