bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
wa hovyo ni nyinyi munaopenda kutawala watu wasiotaka kutawaliwaUmeme mbona mlishindwa lipa deni hadi JPM kuwa samehe deni
Wazenji ni watu wa hovyo na kupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wa hovyo ni nyinyi munaopenda kutawala watu wasiotaka kutawaliwaUmeme mbona mlishindwa lipa deni hadi JPM kuwa samehe deni
Wazenji ni watu wa hovyo na kupe
walioshindwa ni wenyewe wenye nchi lakini hakuna mwananchi aliyeshindwa kulipa umeme.Umeme mbona mlishindwa lipa deni hadi JPM kuwa samehe deni
Wazenji ni watu wa hovyo na kupe
Ndg huyo humuwezi, hana Nchi lakini ana kiti UN na ana mamlaka makubwa kwenye mashirika yote makubwa ya kimataifa.Me naona tungeanza na huyu mbuzi wa vatkani.[emoji200]
Nadhani hapa unapambana urudishe heshima ya Mwarabu na sio heshima ya Mzanzibar.Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Bata la copa si la kitoto aise
Kama vile Marekani ya Kaskazini USA na Canada pia nchi za magharibi, latin Amerika Brazil ufukwe wa Copa Cabana n.k pombe hainywewi hadharani, katika Park za umma na Beach. Pombe hunywewa ndani katika maeneo yaliyoruhusiwa na leseni husika au majumbani .
defao ndiyo nini?kweli sio sawa kudai kitimoto ni dhambi pekee yake na hizo nyngine sio dhambi ila haibadilishi ukweli kuwa Defao ni haramu na dhambi, na tunapaswa kuacha kula hiyo defao na hzo dhambi nyingne pia tuache kuzifanya.
Magereza unguja hapo tungi tunapiga,police mesi tungi lipo,ccm kwa raju tungi lipo,Wote tutadhibiti
wa hovyo ni nyinyi munaopenda kutawala watu wasiotaka kutawaliwa
walioshindwa ni wenyewe wenye nchi lakini hakuna mwananchi aliyeshindwa kulipa umeme.
Hivi wa zenji mnajikutaga waarabu au?Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Kuondoa uhuni na ulevi ni uarabu?Hivi wa zenji mnajikutaga waarabu au?
Kwani Dubai ndio role model wa kila mtu? Unywaji holela lazima udhibitiweDubai wao wamefuta kabisa kodi kwa vilevi vyote vinavyoingia nchini kwao, wewe unaleta usanii hapa, utasubiri sana.
Na suala la Qatar ndugu yetu hapa umetudanganya, mimi nimepita juzi tu nimenunua VAT 69 kwa USD 25, leo unasema Qatar hawana pombe, sio kweli
Sasa Dubai akiruhusu kwani yeye ndio nani? Ndio role model wa maadili duniani,?Zanzibar haiwezi kukwepa ulevi na uasherati kwasababu inategemea hotels na watalii ambao wengi ni walevi na waasherati.
Soma chini kutoka bbc.co.uk kuhusu Dubai imeondoa kodi kubwa iliyoweka kwenye vilevi ili kutwngeneza mazingira rafiki kwaajili ya utalii.
![]()
Dubai scraps 30% alcohol tax and licence fee in apparent bid to boost tourism
It will also stop charging for personal alcohol licences for residents drinking at home.www.bbc.com
Tanganyika ndio ambayo haiwezi kuishi bila Zanzibar, Zanzibar tupo tayari kuvunja muungano muda wowoteKuna nchi bila wananchi nchi itaishi vipi bila kodi za wananchi ukiona hata deni dogo la umeme serikali imeshindwa kulipa jua ni serikali ya hovyo masikini na tegemezi
Sasa unachosema ni kweli, Zanzibar imeoza, lazima turudi kwenye maadili, hili linawezekanaMagereza unguja hapo tungi tunapiga,police mesi tungi lipo,ccm kwa raju tungi lipo,
Nyuki kwa mchina tungi lipo na tunapiga
Transit airport kwa mremi tungi lipo
Na tunapiga sana tuuuu
Nyama choma mbweni tungi lipo na tunapigaaa sana tu
Kwa mama frank hapo njia kama unaenda kwa mwanakerekwe tungi
Lipoooo.....
Na bado nna sehemu buku kdg naweza kutajia we mbugila
Unataka sasa nkutajie vijiwe wanapouza mdudu,nkitaka kula mdudu huko naenda kwa bi Janet
Hapo mbweni,mdudu analika balaaa
Haya tukija kwenye umly wanaojiuza
Bwawani tu hapo madem kibao,
Ukienda nungwi madem kibao unajichaguliaaa tu unaenda kujipigia
Ova