Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
- #101
Kurudisha maadili mema ni Uarabu?Nadhani hapa unapambana urudishe heshima ya Mwarabu na sio heshima ya Mzanzibar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kurudisha maadili mema ni Uarabu?Nadhani hapa unapambana urudishe heshima ya Mwarabu na sio heshima ya Mzanzibar.
Elewa pattern...nchi za kiislamuSasa Dubai akiruhusu kwani yeye ndio nani? Ndio role model wa maadili duniani,?
Watalii watafuata mashartiMuondoe na utalii kabisa!, leo dubai wameondoa kodi ya 30% kwenye vilevi kukuza utalii.
Unazuia pombe na watu wanatoa line mbili 😃 kuleni tu ngurueNchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Kwa hiyo turudi kutembea uchi basi kwa kuwa kuvaa nguo ni kuiga utamaduni wa kigeniUnajua maana ya neno USTA-ARABU na neno KUST-ARABIKA????Mdogo wangu????NA STONE AGE UNAZINGUMIZIA YA UPANDE UPI DUNIANI????MAANA DUNIA KUBWA MDOGO WANGU
Mjue kujitaftia vyenu Sasa, wale wanajiweza sisi hata wangetaka fanya mapenzi ikuluni Wala hatuwezi zuiaHivyo vinahusiana vipi na marufuku ya pombe na kuvaa uchi?
Tulikua Qatar kwenye world cup na kuna club kabisa zinauza pombe.. watu tulikuza henekene za kutosha!Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Mimi nazungumzia ulevi, uasheratiMtu mmoja kuwa na wanawake wanne ni maadili ila kwa mwingine sio maadili.
Kuleta maadili ni kuvunja muungano?Acha uchonganishi wa muungano kaaa TAFAKARI KWAIYO UNATAKA miraha mirungi ndio uruhusiwe zenji
Akihamia Zanzibar ndo ataacha? Si umpeleke sober?Ukweli hata mim ntamshauri mume wangu ahamie Zanzibar!
Pombe za kulewa ni hasara kwa umma
He, hii haihusiani na Uislamu, maadili mema ya kuvaa kwa stara na kuepuka ulevi mbona hata Wakristo wanasisitiza sana hayo?Z'bar sio Islamic republic
Mnataka hayo,vunjeni muungano sasa
Dini imeanzia Dubai?Leo hii uko Dini ilikoanzia wamefuta kodi ya Pombe na akuna tena police kusumbuwa walevi
Mbona sio swala la Uislamu, dini nyingi zinakataza pombe na uasherati, hata usipokuwa na dini tu, hutapenda mwanao awe anakunywa pombe au kuvaa bila staraMkifanya hivyo, Zanzibar itakuwa kama Saudia.
Saudia sheria inazuia biashara ya pombe, lakini Saudia ndiyo inayoongoza Duniani kwa kununua mitambo ya kutengenezea pombe majumbani. Ukishuka tu kwenye ndege pale King Khalid International airport unafuatwa na watu, unaulizwa kama unataka pombe ili wakuletee hotelini. Yaani uwatajie hoteli utakayofikia halafu wakuletee pombe.
Masuala ya imani aachiwe mtu mwenyewe, isipokuwa yale yenye kuwaathiri na watu wengine, hayo ndiyo yapigwe marufuku au yatengewe maeneo maalum.
Pombe inamwathiri mtumiaji mwenyewe, lakini vitu kama sigara, hata usiyevuta unaathirika kama unakuwepo kwenye mazingira ya wavutaji.
Inahitaji kiongozi mmoja jasiri tu,bahati mbaya kwako ni kuwa wanaotakiwa kupiga marufuku ndiyo walevi waliokubuhu zanzibar. wanajificha kw kuvaa kanzu na baraghashia ni hijabu na baibui
Imani yangu unaijua? Ni imani gani inayotaka watu kutembea uchi?Definition ya stara according na imani yako ndio unayotaka tuu, acha watu wajivalie wanavyotaka as long as wamefunika mbususu zao sio tatizo
Utakuzaje uchumi na watu wasiokuwa na maadili? Yaani una mtu anakunywa pombe hovyo huyo mtu anaweza ku focus kwenye kazi? Mtu asiyekuwa hata na discipline ya kuvaa ndio aje afanye kazi kwa discipline?Hayo mambo madogo sana,tatizo la kuwaza kwa kutumia dini,Ili kutatua matatizo ya kiuchumi,
Zenj vijana hawana ajira,uchumi ni tegemezi,Zenj haiwezi jiendesha bila kuwa kupe wa Tanganyika,sasa badala ya kuwaza kukuza uchumi,kupitia sekta za IT,utalii,kilimo,real estate,viwanda Ili Zenj iwe kama Hongkong au Taiwan,au Qatar !!mbulula anawaza pombe na kuvaa vimini,kwamba ndio tatizo kuu!!!
Akili za kiislam huwa zinashangaza sana.
Unakuta kijana kama (zuchu na Mond),hawafanyi matangazo ya pombe sababu wao ni "watoto wa kiislam"
Ila wanakulana nje ya ndoa,kadadaa kama piga pozi kama porn artist!!hapo "utoto wa kiislam haupo""
Unafiki balaaa
Marekani ilishawahi kupiga pombe marufuku na sio Islamic republic, nenda kasome.Huwezi kupiga pombe marufuku bila ya kwanza kuwa Islamic republic, na Zanzibar siyo Islamic country ili seize kuwa Islamic 200 years a go, leo hii mfumo mzima wa Zanzibar ni Christian (western) hata Watalii inategemea kutoka Ulaya na USA na siyo Iran au Saudia, …
Labda Marekani ya UngujaMarekani ilishawahi kupiga pombe marufuku na sio Islamic republic, nenda kasome.