Zanzibar turudishe heshima yetu, tuige mfano mzuri wa Qatar, pombe ipigwe marufuku kabisa

Zanzibar turudishe heshima yetu, tuige mfano mzuri wa Qatar, pombe ipigwe marufuku kabisa

Kwa sasa wazanzibar wengi vijana wanapenda Pombe, Madawa ya kulevya, Disco, malaya, ushoga. Pia Zanzibar ni eneo la utalii, na watalii wanakuja kufanya starehe zao na kumwaga madola ya kutosha. Hivyo kimtindo wazanzibar wameshaanza kuuchoka utamaduni wa sheria za kiislamu.

Sio rahisi hilo unalosema mleta mada kuweza kutekelezwa Zanzibar wakati Zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, ambapo serikali haina dini.
Nashangaa sana watu mnavyolifanya kama hili suala ni la Kiislamu sijui ni kutokujua au ni makusudi ili kuleta mfarakanisho

Kukataa ulevi, uasherati, madawa ya kulevya, kunahitaji mpaka uwe muislamu? Mbona hata Wakristo hawapendi hayo mambo?

Kama hujui kajaribu kusoma kuwa Marekani ambayo ni Wakristo miaka ya 1920s ilikuwa ni marufuku kuuza pombe, ilikuwa ni maramufu kuvaa nguo fupi juu ya goti.
 
Wewe umeona "pombe" tu ndiyo dhambi?
Wanafiki wakubwa, anzeni kwanza kuipiga vita ZINAA iliyojaa ndani ya miili yenu.

Wazanzibari ni wanafiki sana. Kwa nje utawaona wamevaa mavazi ya "kujisitiri", wanaume kanzu ndefu na barakashia, wanawake, baibui mpaka kichwani, lakini mioyo yao imejaa ZINAA na UASHERATI! Matendo wanayofanya "gizani" yanatia kinyaa. Ni kawaida sana kumkuta binti wa Kizanzibari akiwa "bikra" lakini, kinyume na maumbile alishatobolewa siku nyingi.
Pombe ndio kiini cha madhambi karibu yote, Zanzibar sio watakatifu ila tutajaribu kudhibiti uozo kadri tutatavyoweza
 
Niambie maadili yao
Kwa taarifa yako tu, miaka ya 1920 Marekani ambalo ni taifa la Wakristo wengi ilikuwa kuvaa nguo isiyovuka goti unakamatwa. Ilikuwa ni marufuku kuuza pombe
Sasa na wao ni Waarabu?
Wewe hutaki uozo wa kimagharibi kama ulevi,vichupi na ushoga bali unataka uozo wa kimashariki kama bawel,qutan,kadir-kishan and ect.....!!!Au nimekosea mdogo wangu??
 
Sijui mwaka ulipokelea wapi ila Zanzibar sio nchi, mbili Qatar haijakataza pombe ni vile ilikua hakuna kuingia nazo uwanjani na sheria zake juu ya pombe ni kali. Utaishi na kufa na utaiacha Zanzibar na pombe paamoja na starehe zote zilizoko kaka mkubwa.
 
Sijui mwaka ulipokelea wapi ila Zanzibar sio nchi, mbili Qatar haijakataza pombe ni vile ilikua hakuna kuingia nazo uwanjani na sheria zake juu ya pombe ni kali. Utaishi na kufa na utaiacha Zanzibar na pombe paamoja na starehe zote zilizoko kakamkubwL😂😂😂🤣🤣🤣L
 
Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc

Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.

Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.

Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Alisikika mvaa MAKUBAZI mmoja ambae anaaamini pombe ni kharam lkn kufuga msukule ni ujanja,
 
Mchele mtatoa wapi na viazi vya chips alafu nimesahau na umeme.
bado na lengine bajeti ya serikali inayotoka bara pamoja na waajiliwa znz kuja bara.
Waarabu wanatoroka nchi zao kuja huku kufukamia pombe wakijiita watalii
 
Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc

Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.

Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.

Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Anzeni na ushoga kwanza, we huoni vijana wenu wanavyoteketezwa?.
 
Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc

Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.

Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.

Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Kuna kitu huwa kinashangaza kwa Waislamu kukomalia pombe kuwa dhambi hapa duniani wakati kwenye pepo yao Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao kwa mujibu wa Quran 85:17 [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Huwezi kupiga pombe marufuku bila ya kwanza kuwa Islamic republic, na Zanzibar siyo Islamic country ili seize kuwa Islamic 200 years a go, leo hii mfumo mzima wa Zanzibar ni Christian (western) hata Watalii inategemea kutoka Ulaya na USA na siyo Iran au Saudia, …
Hata Islamic Republic ni unafiki mtupu. Unapiga marufuku pombe duniani wakati kwenye pepo yao Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao kwa mujibu wa Quran 47:15. Pombe marufuku duniani, peponi mito ya pombe? Unafiki mtupu.
 
Uozo kimagharibi upi kaka????? Au hujawahi kukaaa uarabuni???Mbona tuliowahi kuishi Qatar,Saudi Arabia na Omani hivi vitu Vipo ushoga,ulevi,kuvaa nusu uchi ndani ya mabaibui pia madanguro yapo na vinafanywa na waarabu wenyewe(Wazawa)kitambo tu!!!!Kabla hujaeneza chuki kwa watu wa magharibi zunguka duniani(Safiri) ujionee kwanza mdogo wangu
Halafu unashangaa pombe wanakataza duniani wakati kwenye pepo yao Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao kwa mujibu wa Quran 47:15. Yaani duniani pombe marufuku, peponi siyo tu Kuna chupa za pombe, Ila mito ya pombe [emoji1][emoji1][emoji1], unafiki mtupu.
 
Halafu unashangaa pombe wanakataza duniani wakati kwenye pepo yao Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao kwa mujibu wa Quran 47:15. Yaani duniani pombe marufuku, peponi siyo tu Kuna chupa za pombe, Ila mito ya pombe [emoji1][emoji1][emoji1], unafiki mtupu.
Hivi ni kweli kaka haha unayosrma??
 
Halafu unashangaa pombe wanakataza duniani wakati kwenye pepo yao Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao kwa mujibu wa Quran 47:15. Yaani duniani pombe marufuku, peponi siyo tu Kuna chupa za pombe, Ila mito ya pombe [emoji1][emoji1][emoji1], unafiki mtupu.
Hivi ni kweli kaka haya unayosema??
 
Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc

Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.

Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.

Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
😀😀Juzi nilikuwa kwenye Harusi moja hivi, Mpemba na Kanzu yake akazivaa Pombe za bure,akashindwa kufika hata washroom,acha arudishe chenji na baraghashia yake🤣
 
[emoji3][emoji3]Juzi nilikuwa kwenye Harusi moja hivi, Mpemba na Kanzu yake akazivaa Pombe za bure,akashindwa kufika hata washroom,acha arudishe chenji na baraghashia yake[emoji1787]
Duh

Ova
 
Back
Top Bottom