Zanzibar: Wakamatwa wakiendesha mtandao wa kuingilia watoto wa kiume, kurekodi na kufanya udalali

Zanzibar: Wakamatwa wakiendesha mtandao wa kuingilia watoto wa kiume, kurekodi na kufanya udalali

“Mwanangu alipotea wiki tatu na nusu nikawa namtafuta, nikawa napiga simu mule mote anapopajua, sehemu anazokwenda, juzi Jumamosi ndio nikapigiwa simu kwentu wakaniambia wamemkamata. Kumuhoji ndio akasema alipokuwa na alivyofanyiwa. Kujisikia, najisikia vibaya sana na najisikia uchungu mkubwa sana, nilikuwa namtegemea kwasababu najua hii ni zawadi amenipa Mwenyezi Mungu, leo hii zawadi yangu kwanini inaharibiwa? –

Nikiwa kama mzazi hii imenichoma sana, dunia sijui inaelekea wapi hii eeh Mungu tukinge na haya majanga.
 
Vijana dar hizi energy wanakunywa hamu, na kuongeza nguvu za kazi, zanzibar wanapewa ili marinda yalainike, maumivu wanapata asbuhi😂😂😂😂😂.. dogo wamezoea hawa😂😂
Ukisoma katikati ya mistari utagundua hizo energy wakipewa zikiwa na mchanganyiko wa kilevi ili walewe waweze kutimiza azma yao hao wahuni.
 
Znz straight males 1%.
Na inakuhitaji uwe 1% of 1% kudumu katika maadili.
 
Mtoto wa miaka 18 inakuaje unakuwa kama mtoto asiyejielewa au wanawatilia vilevi kwenye izo energy
 
Inafanywa waziziz khaaa.....ushasahau nchi imesaini mikataba kibao ilifungamana na hayo mambo
Hatujakataaa ndo kufanyisha watoto au watu wasio ridhia na hayo mambo?

Hata Rais alisema wafanye watu wazima tyuuh tena walio ktk ridhaa yao.
 
Vijana dar hizi energy wanakunywa hamu, na kuongeza nguvu za kazi, zanzibar wanapewa ili marinda yalainike, maumivu wanapata asbuhi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. dogo wamezoea hawa[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuu
 
Ukisikia kuna hata mmoja amekamatwa na kupelekwa mahakamani nitakunya pale Azania Front Mchana kweupe.

Corrupt gov never get concerned
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani kwann??
 
Back
Top Bottom