Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

Tumeona vyombo vya ulinzi vikiendelea kutumia nguvu kupita kiasi. Vyombo vya habari vya nchini viko silenced kuelezea mauaji yanayoendelea Zanzibar.

JamiiForums Ni jukwaa pekee ambalo TINATHUBUTU KUONGEA BAYANA.
Kuna nyakati chungu, mbaya na za aibu, lazima tuziseme.

Hizi Ni nyakati mbaya kabisa katika historia ya Taifa letu, tunashuhudia ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Mauaji, kuminywa kwa haki ya kupashana habari etc.

Hapa tutaendelea kuweka updates za majina ya waliouawa kwa risasi na majeshi ya nchi yetu.

Huu uzi najua JamiiForums mnaweza kuogopa kuuweka hewani, lakini siku moja (iwapo mtauweka,) mtakuwa chombo kikubwa Sana Cha habari na hakika mtaonekana Ni chombo huru kisicholalia upande wowote wa kiitikadi.
IMG_20201028_002359.jpg
 
Hakuna aliyeuawa hadi muda huu.
Vijana 42 wamekamatwa kwa kufanya fujo
Hii kick ya mauaji haitawasaidia
Wanatekeleza ushauri wa Robert Amsterdam wa kuleta machafuko ili wapate international community attention.

Sasa hata kura hazijapigwa. Mnaweza ku justfy vipi ulazima wa vurugu zenu? Wazanzibar wa mrengo wa Maalim Seif waache ujinga.
 
Wanatekeleza ushauri wa Robert Amsterdam wa kuleta machafuko ili wapate international community attention.

Sasa hata kura hazijapigwa. Mnaweza ku justfy vipi ulazima wa vurugu zenu? Wazanzibar wa mrengo wa Maalim Seif waache ujinga.
Acha kutengeneza uzushi wa kipumbavu kama huu jaribu kuwaheshimu watanzania kuwa wana Akili timamu
 
Acha kutengeneza uzushi wa kipumbavu kama huu jaribu kuwaheshimu watanzania kuwa wana Akili timamu
Sasa unaitwa USHUZI tutaongea nn mm na ww kama we binafsi umeshindwa kujiheshimu na kujipa thamani ya uhai wako. Unajiita USHUZI.

Ndio mana akina Maalim wanawatumia tu. Tumia vzr akili na maarifa alokupa bure muumba wako shenzi kabisa useless brain.
 
Huu ni uzushi! Kwa nini mnajifunza mambo mabaya kutoka kwa mgombea wenu, Antipasu !? Yaani mambo ya uongo, uzushi, kejeli, kujisikia, ujeuri na mengine kama hayo!
Kuna mtu anasema kati ya Watu milioni 60,hakuna atakayeweza kuyaendeleza yale aliyokwisha yafanya.
Hiyo ndio jeuri.
Hiyo ndio kiburi.
Huko ndio kujisikia.
Huo ndio uzushi na uongo.
 
Tunataka ushahidi wa picha, maziko sio porojo tu.
Wenye comment k
ALERT
emoji599.png
: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)

Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.

Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9

#ZanzibarLivesMatter
View attachment 1614174
Maalim Mungu anakuona. Unachochea wa Zanzibar kwa uchu wa madaraka wakati huo wewe umejifungia ndani. Kiongozi ni kutangulia mbele wakufuate, ila inakuwa tofauti.
 
Hiyo risasi mbona Ni nzima haijalipuka? Una mdanganya Nani?

Risasi ipige mtu ibaki ilivyo? Hilo ganda lingeanguka eneo ambapo mpigaji ( mwenye bunduki) angekuwepo, sehemu ya mbele ndiyo ingempiga mlengwa,


Propaganda za kipumbavu Sana, heshimuni majeshi yenu msipakae matope kisa madaraka tu.

Wadanganyeni mburula wenzenu waisiojua lolote! Shame on you.
 
Kwani hyo risasi moja ndo imetumika kuua watu wote hao?..
Tuache kutetea mauaji.zanzibar wanauliwa kweli
Propaganda za kijinga, na ni uchochezi!

Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!

Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
 
Wanatekeleza ushauri wa Robert Amsterdam wa kuleta machafuko ili wapate international community attention.

Sasa hata kura hazijapigwa. Mnaweza ku justfy vipi ulazima wa vurugu zenu? Wazanzibar wa mrengo wa Maalim Seif waache ujinga.

Ni matumizi mabaya ya social media!
 
Mimi Nashangaa sana, yaani polisi akipigwa mawe watu wanashangilia lakini akijihami wanaanza kulia
 
ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)

Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.

Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9

#ZanzibarLivesMatter
View attachment 1614174
Ndiomana tunazimiwa mitandao kwa upumbaf kama huu,mambo mazito kama hayo huwezi kuyaleta kienyeji namna hiyo.

Kuna watu hawatokwenda kupiga kura sababu ya kutiwa hofu, kwa ujinga kama huu.

Thibitisha hizi taarifa zako,otherwise stop this nonsense.
 
Unajifanya mjuaji huku hujui kuwa risasi inamissfire. Huyu ameonesha risasi ya moto iliyomissfire na kuwa ejected ili kuwaonesha wapuuzi kama wewe kwamba zinazotumika ni risasi za moto.
Hao waliopigwa risasi wapo wapi?
Una uhakika gani kama hiyo risasi ni kutoka kwa askari? tutakuwa na uthibitisho upi kuwa hiyo sio siraha yake mwenyewe,au ametumia picha isiyohusiana na tukio lenyewe kuketa taharuki?tumia akili.
Usiache kwenda kupiga kura,rudi nyumbani baada ya kupiga kura.
 
Back
Top Bottom