Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)

Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.

Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9

#ZanzibarLivesMatter

Mtoa post huna haya
 
Tii sheria bila shuruti

Risasi ambayo haijatumika itauaje?

Chadema acheni siasa chafu
Hawa wahuni wanafanya vurugu makusudi ili kupata sympath...kesho ndio tunaenda kupiga kura za kishindo kwa JPM..

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Yap,ukiletakichwa ngumu unakula chuma tu.
asiefunzwa na wazazi atafunzwa na ulimwengu
 
Propaganda za kijinga, na ni uchochezi!

Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!

Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
Kwanza hii ,jamiiforums nayo ingefungwaa tu
 
Mi ndio mana nasema Siasa ni $&@# tu hao tisa wamekufa kwa ajili ya kupigania Chama chao nyie kama chama badala mchukue hatua mnakusanya tu takwimu ... ila hali kuna watu ndio hawatakuwepo tena ...
 
Acheni ujinga nyie Manyumbu. Kweli upate risasi lakini usitupe picha za walio uwawa. Risas yenyewe haijatumika.
Acheni kuiombea Tanzania mabaya mngekuwa na akili mngetulia na kupiga kura, walio jiandikisha wenyewe Zanzibar wapo 500,000.
Unapofanya fujo utawekwa ndani so idadi ya wapinzani wakupiga kura inapungua.
Use ur brain.
 
Ukiona Askari anaishi maisha magumu Sana baada ya kustaafu usimuonee huruma huyo analipwa matendo yake mabaya aliyowatendea watz wakati wa utumishi wake,
 
Tusingizie waliouliwa ili iweje?
Mujue hili litalipwa tuu,polisi tunakaa nao mitaani,wake zao na watoto wao wanajulikana.
Iwe onyo kwa wengine ,
wasijione na Magwanda wakaacha maadili ya kazi zao.
Hukumu yao yaja.
Ima fa imma
Its a matter of life and Death.
Tunataka haki itendeke.
Other wiswe hatuwaachi tutawaandama one by one.
 
Tii sheria bila shuruti

Risasi ambayo haijatumika itauaje?

Chadema acheni siasa chafu
We una nyege na Chadema nini? Uzi waanzishe ACT Wazalendo ila wewe unaona Chadema. Shithole!!
 
Yote ni kulazimisha kutawala ,kama haupendwi tulia ,jitu ni litajiri lina kila aina ya investments ,mi account imejaa fedha za wizi lakini bado tu linaua watu liendelee kutawala yaani ni tabu tupu.

Mwenzake aliua wazanzibar mwaka 2000 ila tayari kashalala LUPASO.
Wanasiasa sio watu wazuri haijalishi wanatumia rangi gani kujinadi.
Wananchi wajitahidi kuepuka hila za wanasiasa zitagharimu familia zao.
Sio lazima kukubali au kulazimisha vitu, cha msingi ni Amani, Upendo na roho yenye hofu ya Mungu.
Ebu tuache haya na yapite, kesho ni zaidi ya leo.
 
Propaganda za kijinga, na ni uchochezi!

Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!

Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
Kukuta risasi nzima kwenye mapambano ni kawaida sana bro, kwahy kuona risasi nzima kusikufanye uamini kuwa ni propaganda
 
Propaganda za kijinga, na ni uchochezi!

Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!

Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
Dira ya dunia kupitia startimes saa3 wameripoti hii kitu
 
Back
Top Bottom