Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

Chanzo kinachofahamika ni kile kile cha kulazimisha mtu asiyeweza kupata hata 20% ya kura Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar
Huu ni uzushi! Kwa nini mnajifunza mambo mabaya kutoka kwa mgombea wenu, Antipasu !? Yaani mambo ya uongo, uzushi, kejeli, kujisikia, ujeuri na mengine kama hayo!
 
Maalimu seif sasa yupo huru, akileta ngebe anadakwa tena.
 
ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)

Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.

Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9

#ZanzibarLivesMatter

Mbona haijatumia hiyo imeuaje sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)

Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.

Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9

#ZanzibarLivesMatter

siku zake za kuishi duniani zimeisha, usiseme kapigwa risasi kafa, risasi haziui kama zingeua Lisu asingekuwa mgombea urais leo.
 
Wataondoka tu Ccm hata kwa kizazi kijacho,watake au wasitake
#LissuForChange
☺#ShikamooMaalim
 
Kwa tulipofikia hakuna jipya, malalamiko tumekwisha yazoea, watoto deka. Muda umepita mazungumzo Ijumaa saa7 mchana tutaanza kuulizana za tangu juzi.

Wanyooshwe tuu hakuna namna. Inatakiwa uchaguzi huu mmnyooshwe mpaka tuingiwe na huruma, Bara wabunge 4 na visiwani wabunge 13, upinzani kwishney.
 
Tii sheria bila shuruti

Risasi ambayo haijatumika itauaje?

Chadema acheni siasa chafu
Wewe nawe matakao ya mamako, Kwani aliyeleta hii habari ni wa CHADEMA? Mbona CCM kumejazana makarai namna hii?
 
Aibu kweli kwa jeshi kujiingiza kwenye siasa, kujifanya refa why msiache wanasiasa wanyukane wenyewe na sio kuingilia. Wanazidiwa hata na wa Malawi huwezi kuta wanaingilia ugomvi wa wanasiasa wao wanalinda nchi na sio chama au mtawala
 
Propaganda za kijinga, na ni uchochezi!

Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!

Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
Kwa mawazo kama haya, huwa ndio maana naamini kila mala mzungu akili yake ni kubwa sana kuliko kiumbe mweusi!!! (mwafrika), kwani tuna mawazo ya kichawi chawi tu!!! Kuna mtu mwenye kufuatilia siasa za Tanzania, hajui kinachoendelea Zanzibar?!!
 
Aibu kweli kwa jeshi kujiingiza kwenye siasa, kujifanya refa why msiache wanasiasa wanyukane wenyewe na sio kuingilia. Wanazidiwa hata na wa Malawi huwezi kuta wanaingilia ugomvi wa wanasiasa wao wanalinda nchi na sio chama au mtawala
 
Back
Top Bottom