Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Siku ikifika zamu yako useme hivyo hivyoTii sheria bila shuruti
Risasi ambayo haijatumika itauaje?
Chadema acheni siasa chafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ikifika zamu yako useme hivyo hivyoTii sheria bila shuruti
Risasi ambayo haijatumika itauaje?
Chadema acheni siasa chafu
Mkuu, hivi vidole na ganda ndio ushahidi ama ni mambo ya kizushi tuu.ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
===
kuna kipindi cha hapa na pale...hizo taarifa sizion! Acheni kupotosha basi!
Wengi wakistaafu wanakuwa makorokoroni wengine huwa wachawi!!! Laana za rushwa, dhulma na....Askari unalipwa laki mbili na sabini Kama mshahara hakuna nyongeza za mishahara 5 yrs, kikotoo, maisha magumu Hadi wife auze vitumbua unatumika kumpiga risasi mtanzania mwenzako sababu ya tumbo la mtawala ambae anakunyima haki zako.
Kazi zingine ni lzm urogwe kwanza ndipo uajiriwe
Hajauwawa na polisiRPC wa mkoa wa Pemba Kaskazini pamoja na IGP wanadai kuwa hajauawa mtu hata mmoja![emoji52]
Marehemu ndo huyo kabeba risasi?ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
Msitu gani mtaingia nyie keyboard warriors? Kila msitu Kuna wanajeshi wameweka kambi yao.Mahakama zinamuogopa Magufuli Polisi wanamuogopa Magufuli Wanajeshi wanamuogopa Magufuli sasa sisi wananchi tukimbilie wapi wakati anatuua?
Je, tukiingia Msituni na kuanza harakati nani wa kulaumiwa?
Kwa kombeoPropaganda za kijinga, na ni uchochezi!
Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!
Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
Tutabanana humohumo na hao Wanajeshi wa dikteta uchwaraMsitu gani mtaingia nyie keyboard warriors? Kila msitu Kuna wanajeshi wameweka kambi yao.
sitaki kuamini kama kodi yangu imetumika kununulia hiki chuma kilichoondoa uhai wa mwanaddamu mwenzangu, moyo wangu unavuja machozi ya damu, inauma sana!ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
Unawajua... Au unawasikia WajDbiliutzed?Tutabanana humohumo na hao Wanajeshi wa dikteta uchwara
Hizi Link mod watakula kichwa sasa hivi!
Sisi tulikuwa humohumo kijanaUnawajua... Au unawasikia WajDbiliutzed?
Wekeni picha acha matusi kiazi wewe.Pumbavu kabisa wewe, ushahidi Kama ule wa gwajiuno akimkatikia kondoo wake ndio unaoutaka?