Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Ahaaa,sio kweli kabisa.Chagu eh , Mwambieni mjomba anazingua. Sasa imebaki Jf tu inayofanya kazi sawa sawa. Kule kutamu hakuna mawasiliano. INABOA SANA.
Huyu si anapendwa na amefanya makubwa mengi , hofu ya nini mpaka twita, YouTube hazifanyi kazi ?!.
Si ajabu hata Jf nayo itazingua . Haya mambo hatuyapendi.