n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Maalim Mungu anakuona. Unachochea wa Zanzibar kwa uchu wa madaraka wakati huo wewe umejifungia ndani. Kiongozi ni kutangulia mbele wakufuate, ila inakuwa tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"No Pain no gain" alisikika Sheikh Ponda Issa PondaNaona unadanganya watu waumizwe?
Utaishi milele kama yule aliyeita wenzie malofaHahahaha, mtakufa sana pimbi nyie, fuateni sheria.
Ushahidi mtakutana nao kwenye mahakama za kimataifa kenge nyie.Hivi nyie ACT mnatufanya sisi wajinga sana? Hivi wewe uoni hiyo risasi haijatumika? Hivi wewe hujui kuwa hiyo risasi haijatumika wewe uoni?nilitegemea uweke picha za hao watu tisa walio uwawa!
Maalim kakamatwa toka asubuhi alivyoenda kupiga kuraMaalim Mungu anakuona. Unachochea wa Zanzibar kwa uchu wa madaraka wakati huo wewe umejifungia ndani. Kiongozi ni kutangulia mbele wakufuate, ila inakuwa tofauti.
Mkuu,watch out what you wish for.Dead men tell no talesTii sheria bila shuruti
Risasi ambayo haijatumika itauaje?
Chadema acheni siasa chafu
Very stupid...yaani tunaonyeshwa risasi ambayo haijatumika?ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
Hakuna aliyeuawa hadi muda huu.ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
Mtakufa bila uelewa wenu nyie vibaraka wa ccm ni heri unyimwe pesa upew AkiliTii sheria bila shuruti
Risasi ambayo haijatumika itauaje?
Chadema acheni siasa chafu
Mbona hamuweki chanzo cha kadhia nzima ya tukio hili la kusikitisha la mauaji?
Weka ushahidiHakuna aliyeuawa hadi muda huu.
Vijana 42 wamekamatwa kwa kufanya fujo
Hii kick ya mauaji haitawasaidia
Tunataka ushahidi wa picha, maziko sio porojo tu.
Werevu huwa wanatumia rubber bullets wanapopambana na raia wao. Sasa utataufta kundi la kuwaweka wale wanaopamba kwa risasi za moto na raia wao.Ulitaka watumie nn sasa... Hao wajinga si wameona mawe ni bora kuliko risasi??? Hatutaki malalamiko, ugomvi uanzishe ukipgwa uje utupigie ss kelele huku..idiots.
#Zanzibarlivesmatter: Mkuu, kwanza hii risasi uliyoshikilia haijatumika na sijui umeitoa wapi na unataka kuitumia wapi kwa ajili ya nini? Mkono ulioshika hiyo risasi unaonesha ulikuwa unasukuma unga wa ngano. Bado unasambaza taarifa za watu kenda kwamba wamekwisha kuuwawa pasipo ushahidi uliothibitishwa na daktari. Kwanini hii taharuki inasambazwa sana nani na kwa nia gani? Ni kweli mamlaka za dola na wananchi wanawajibika kuheshimiana kwenye kipomo cha HAKI na WAJIBU; je, tatizo ni lipi hadi madhira haya yatokee? Kila mmoja anawajibu wa kuzingatia kudhibiti hisia binafsi dhiki ya matakwa kinzani ili kudumisha, AMANI, UHURU, na HAKI pasipo kuvunja sheria na kudharau mamlaka halali.ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
Kabisa!Bila kuchukua hatua Ccm watawanyonya damu watoto wetu. Wakati wa kuchukua hatua ni sasa
Huyo akishajichokea! Afya yenyewe mgogoro"Kama kutuua basi Watuue wote" Askofu Mwamakula Keko leo
Hiyo risasi mbona Ni nzima haijalipuka? Una mdanganya Nani?ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
FundraisingHabari za uongo lete uthibitisho
Chagu eh , Mwambieni mjomba anazingua. Sasa imebaki Jf tu inayofanya kazi sawa sawa. Kule kutamu hakuna mawasiliano. INABOA SANA.Jaduong acha hasira,hili ni suala zito tunatakiwa kupewa ushahidi wa kutosha sio kuweka picha ya risasi.