Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

Mahakama zinamuogopa Magufuli Polisi wanamuogopa Magufuli Wanajeshi wanamuogopa Magufuli sasa sisi wananchi tukimbilie wapi wakati anatuua?

Je, tukiingia Msituni na kuanza harakati nani wa kulaumiwa?
Ingia fastaaaaa.... Unasubiri nini???
 
Bahati mbaya mpaka sasa sijasikia polisi au mwanajeshi amepewa kipigo Cha mbwa Koko na kupelekea ku rest in hell.
 
Unajifanya mjuaji huku hujui kuwa risasi inamissfire. Huyu ameonesha risasi ya moto iliyomissfire na kuwa ejected ili kuwaonesha wapuuzi kama wewe kwamba zinazotumika ni risasi za moto.
Ulitaka watumie nn sasa... Hao wajinga si wameona mawe ni bora kuliko risasi??? Hatutaki malalamiko, ugomvi uanzishe ukipgwa uje utupigie ss kelele huku..idiots.
 
Propaganda za kijinga, na ni uchochezi!

Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!

Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
tumia akili fala wewe kwani wamekwambia hiyo risasi ndo imetumika kuua mbn nyie maccm hamna akili za kujiongeza hiyo risasi ni ushahidi tosha kuwa mnafanya maovu sasa cku mjomba,mtoto,baba,mume,hawara na waukoo wenu wakipatwa na haya majanga usijee kulia lia humu baki na serikali yako hyo ya kidhalimu
 
Mahakama zinamuogopa Magufuli Polisi wanamuogopa Magufuli Wanajeshi wanamuogopa Magufuli sasa sisi wananchi tukimbilie wapi wakati anatuua?

Je, tukiingia Msituni na kuanza harakati nani wa kulaumiwa?
We ingia huko msituni hata kesho,tena kesho ndo vizuri maana kibaraka wenu anagaragazwa ile mbaya
 
Hivi nyie ACT mnatufanya sisi wajinga sana? Hivi wewe uoni hiyo risasi haijatumika? Hivi wewe hujui kuwa hiyo risasi haijatumika wewe uoni?nilitegemea uweke picha za hao watu tisa walio uwawa!
 
Hizo habari zimethibitishwa na nani au ni ule ule mwendelezo wa mbinu chafu za propaganda za taharuki?
 
Back
Top Bottom