ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ingia tovuti ya TRA utapataMkuu samahani naweza kupata hii spreadsheet?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia tovuti ya TRA utapataMkuu samahani naweza kupata hii spreadsheet?
Haya ni mataifa mawili tofauti na infact hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara bali kuna TanganyikaNimeshangaa bei ya mafuta Zanzibar petrilo ni 2900 na diesel 3100!
Hawa Zanzibar mafuta wanatoa wapi huko ambako siai hatuwezi kwenda? Hii nchi si moja?
Kuna nini hapo katikati?
Anatoa mfukoni mwakeNa mimi najiuliza kitu kingine utawala wa Mwinyi unatoa wapi fedha za ujenzi wa miradi mikubwa mikubwa kwa wakati mmoja tofauti na watangulizi wake?
1. Kabomoa soko la Kwereke na La Mombasa, anajenga kwa upya.
2. Kabomoa uwanja wa Amaan Stadium anaujenga upya,
3. Stand ya kariakoo Zanzibar ilijengwa nadhani kuelekea 2020 lakini mwaka huu imebomolewa inajengwa upya,
4. Kaing'oa ng'oa barabara ya uwanja wa ndege na anajenga mpya,
5. Barabara za ndani hivi sasa nyingi nyingi zinajengwa.
6. Mradi wa bandari mpya Mangapwani,
7. Miradi ya majengo mbalimbali unguja
8. Ujenzi wa bandari pale Maruhubi
9. Ujenzi wa masoko ya kisasa Kwa Nyanya na Mkwajuni.
10 ujenzi wa fryover kwerekwe to Amani........
Je huyu mwamba anatumia fedha za kodi pekee na mikopo?
Au Samia hela nyingi kutoka bara anampa????
Nimeshangaa bei ya mafuta Zanzibar petrilo ni 2900 na diesel 3100!
Hawa Zanzibar mafuta wanatoa wapi huko ambako siai hatuwezi kwenda? Hii nchi si moja?
Kuna nini hapo katikati?
Watanzania Visiwani wanajitambua kuliko sisi wasaka teuziNimeshangaa bei ya mafuta Zanzibar petrilo ni 2900 na diesel 3100!
Hawa Zanzibar mafuta wanatoa wapi huko ambako siai hatuwezi kwenda? Hii nchi si moja?
Kuna nini hapo katikati?
Hili nalo Naibu Waziri Mkuu ashughulike nalo. Bei iwe moja nchi nzima. Watafute wastani wa hizo bei. Kuwapendelea DSM kuwa na bei ya chini kuliko sisi wa Kigoma na Bukoba, ni kutugawa watanzania.Kula chuma hiko
View attachment 2743513