Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wapalestina hawakandamizwi.Walichagua kutokukaa na Israeli bila amani kwa hiyari ya mioyo yao.Wanachokifanya Israeli ni kudumisha adabu na amani tu/maintaining discipline and peace and order tu kwa wakaidi.Kumbe wewe huna akili sasa kusapoti palestina iwe huru ni kosa? Wewe hautaki palestina iwe huru dhidi ya ukandamizaji unaofanywa na israeli?
Watashangaa wakikutana na bajaji na mabus yenye picha za Osama Bin Laden
Hii mijitu kwani inaweza hata kutafakari? unalipa kazi ngumu ya bureeee.Umetafakari kwa kina au umekurupuka kumbuka Hilo ni gari binafsi ni kama wewe ukiwa na gari yako ndani umeweka bendera ya Chadema afu ukalipaki kazini kwako afu wafuasi wa CCM walalamike
Hii habari imekaa kishabiki kuliko uhalisia, upande wa pili sio habari za kushabikia ikiwa mnapenda kuongeza mapato ya kitalii.
Kama ni kweli kuna tukio kama hilo, suluhisho lilikuwa majadiliano na kulimaliza kidiplomasia.
Sio sahihi sana kuweka itikadi kwenye biashara.
ukisoma vizuri hiyo habari kulingana na taarifa wamefukuzwa baada ya kuleta fujo hotelini...! hata kama jambo hupendi tafuta utaratibu mzuri wa kuwasilidha si fujo ...na tukilea tabia za wageni kufanya fujo nyumbani kwetu ni kuharibu heshima yetu pia...."kazini kwako"...!Ofisi binafsi,ya chama au ya umma?Kama ni binafsi au ya chama ni sawa kuweka bendera.Lakini,kama inatumiwa na watu wote/umma,kuweka bendera za kisiasa ni upumbavu uliopitiliza viwango.
HALAFU;Kulikuwa na ulazima au umuhimu gani wa kuwafukuza hao watalii/wageni wa Kiizraeli kwa sababu ya kuuliza walichouliza tu?Hakukuwa na namna ya kuwaelewesha kuhusu uhuru wa kufanya mambo katika nchi(Zanzibar)bila kuvunja sheria?Hoja kuu ya kuwafukuza ni ipi?
Pumbavu zao.Hiyo sasa ni Ant Semitism! Na inaonekana huenda kwa kujua ni Waisraeli,meneja amebandika stika hiyo ili kuwaudhi.Lakini hata kama walichukia wasingetimuliwa ndani ya Hotel.
Tuwe makini tusije kuharibu soko letu la Watalii.
Ukiigusa Israel umeigusa US,UK,umegusa nchi za jumuia ya Uraya,EU!
Zinaweza kuzuia Watalii wasije.
..."wanadai refund"...!Kwani kudai chako ni kosa ndugu yangu?Umeshindwa kutimiza hitaji/tegemeo la mteja kwa nini asidai umrudishie malipo?Ulimuelekeza kabla kwamba hapo hakuna refund?Bro najishughulisha na kazi za utalii, nishafanya kazi hotelini.. niamini, hapo waisraeli ndio wenye shida,
Siku zote Manager ama mfanyakazi lazima asikilize kero ya mteja kwenye hii sekta, changamoto inakuja pale ambapo unakutana na wateja ambao si waelewa kama waisrael, muda wote wanalilia redund (wanaongoza katika hili)... Wao wanajiona wapo perfect muda wote na wanataka kuogopwa na kunyenyekewa...
Nina uhakika hapo waliomba refund, na wakiona haiwezekani hulalamika wanaonewa, na si ajabu ni wao ndio waliochapisha hiyo habari mtandaoni
Umetafakari kwa kina au umekurupuka kumbuka Hilo ni gari binafsi ni kama wewe ukiwa na gari yako ndani umeweka bendera ya Chadema afu ukalipaki kazini kwako afu wafuasi wa CCM walalamike
Concern ya nini? Huyo meneja ame-target serikali ya Israel na siyo raia mmoja mmoja, halafu ni peaceful message na siyo violence. Dunia nzima imejaa maandishi ya kutaka mashoga watambulike, wakati kuna watu wengi tu wanaona siyo jambo jema.It has to cause them concern, wao wana passport ya Israel, kwa Mtazamo wao, Free Palestinian means from Israel, na host wao ambaye ni Manager anaona wao sio fair, it has to raise concern.
Ni ujinga kukuosa huduma kwa kuangalia mwenye duka kaweka nembo gani,hasa ukiwa Tanzania,au mwenye taxi au bajaj kaweka bendera au nembo gani zipo taxi na bajaj zina nembo na matangazo kinyume na abiria,lakini watanzania hatujali hilo.Kwa mfano unaweza kupanda taxi,inq benders ya Israel au ya Saudia,bajaj ina picha za wambaji au ina benders ya Yanga au simba,au taxi au bajaj ina msalaba au tasbihi,lakini abiria wa Tanzania hawajali wala kushughulishwa na hayo.Hiyo Hotel hawajielewi mimi hata duka nikiona lina maneno free Palestine siingii najua ni duka la Magaidi wa Hamas kununua kitu hapo ni kuwachabgia pesa Hamas
Kuuliza walichouliza? Unajua hata suala lenyewe limekuwaje? au unaleta ushabiki maandazi?..."kazini kwako"...!Ofisi binafsi,ya chama au ya umma?Kama ni binafsi au ya chama ni sawa kuweka bendera.Lakini,kama inatumiwa na watu wote/umma,kuweka bendera za kisiasa ni upumbavu uliopitiliza viwango.
HALAFU;Kulikuwa na ulazima au umuhimu gani wa kuwafukuza hao watalii/wageni wa Kiizraeli kwa sababu ya kuuliza walichouliza tu?Hakukuwa na namna ya kuwaelewesha kuhusu uhuru wa kufanya mambo katika nchi(Zanzibar)bila kuvunja sheria?Hoja kuu ya kuwafukuza ni ipi?
Hli unatakiwa ujue taratibu za hotel kabla ya kuanzisha ubishi. Kuna hotel nyingine kwa mfano kama umelipia wiki moja na ukakaa siku mbili basi hata ukiamua kuondoka hurudishiwi fedha. Nyingine kuna kipindi kikishapita fedha hazirudi...."wanadai refund"...!Kwani kudai chako ni kosa ndugu yangu?Umeshindwa kutimiza hitaji/tegemeo la mteja kwa nini asidai umrudishie malipo?Ulimuelekeza kabla kwamba hapo hakuna refund?
Hoja ni kwamba,tumeandikiwa maneno..."after complaining "..!Swali ni,Je,complaining tafsiri yake kwa kiswahili ni nini?ukisoma vizuri hiyo habari kulingana na taarifa wamefukuzwa baada ya kuleta fujo hotelini...! hata kama jambo hupendi tafuta utaratibu mzuri wa kuwasilidha si fujo ...na tukilea tabia za wageni kufanya fujo nyumbani kwetu ni kuharibu heshima yetu pia.
Aisee . Hivi wewe mi naweza kuja nyumbani kwako nikupangie namna ya kuishi halafu niki react unakuja juu kutaka kudumisha adabu na amani?Wapalestina hawakandamizwi.Walichagua kutokukaa na Israeli bila amani kwa hiyari ya mioyo yao.Wanachokifanya Israeli ni kudumisha adabu na amani tu/maintaining discipline and peace and order tu kwa wakaidi.
Bro najishughulisha na kazi za utalii, nishafanya kazi hotelini.. niamini, hapo waisraeli ndio wenye shida,
Siku zote Manager ama mfanyakazi lazima asikilize kero ya mteja kwenye hii sekta, changamoto inakuja pale ambapo unakutana na wateja ambao si waelewa kama waisrael, muda wote wanalilia redund (wanaongoza katika hili)... Wao wanajiona wapo perfect muda wote na wanataka kuogopwa na kunyenyekewa...
Nina uhakika hapo waliomba refund, na wakiona haiwezekani hulalamika wanaonewa, na si ajabu ni wao ndio waliochapisha hiyo habari mtandaoni
Concern ya nini? Huyo meneja ame-target serikali ya Israel na siyo raia mmoja mmoja, halafu ni peaceful message na siyo violence. Dunia nzima imejaa maandishi ya kutaka mashoga watambulike, wakati kuna watu wengi tu wanaona siyo jambo jema.
Polepole dugu yangu veve!Mbona umekasirika sana,eeenh?Tueleveshane polepole eenh?Kuuliza walichouliza? Unajua hata suala lenyewe limekuwaje? au unaleta ushabiki maandazi?
Hao wamemuambia hotel manager kwamba kuiona hiyo bendera inawafanya wawe "concerned "
Ni vyema kukaa kimya kama huna taarifa za kutosha juu ya jambo flani
Kama huko ulikosema hakuna kelele haimaanishi Palestina watu wasipige kelele. Halafu mgogoro wa Palestina ni tofauti mno wa eg DRC au Sudan. Kuhusu Ukraine kama huoni kelele basi wewe huko hii dunia.Hivi,ukikaa kwa kutulia ukajiuliza,ni watoto wa kipalestina tu ndiyo pekee wanaokufa kwa mapigano hapa duniani?Umeitazama DRC?Umeiona Sudan?Chad?Ukraine?Lakini,kelele nyingi nazo humuokoa mke kutoka kwenye kipigo cha mumewe!