Bro najishughulisha na kazi za utalii, nishafanya kazi hotelini.. niamini, hapo waisraeli ndio wenye shida,
Siku zote Manager ama mfanyakazi lazima asikilize kero ya mteja kwenye hii sekta, changamoto inakuja pale ambapo unakutana na wateja ambao si waelewa kama waisrael, muda wote wanalilia redund (wanaongoza katika hili)... Wao wanajiona wapo perfect muda wote na wanataka kuogopwa na kunyenyekewa...
Nina uhakika hapo waliomba refund, na wakiona haiwezekani hulalamika wanaonewa, na si ajabu ni wao ndio waliochapisha hiyo habari mtandaoni