Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

Hakuna lolote zaidi ya kuwatimua.
 
Hujakomboka bado kifikra.

Bado ni mtumwa wa kifedha.
Ulichokiandika maana yake ni;-
-hujakomboka bado kifikra=amestaarabika hapendi malumbano yasiyo leta tija na kuharibu biashara.
-Bado ni mtumwa wa kifedha=anajua anafanya nini na hafanyi kazi ya kumpa kipato kwa mazoea,kutanguliza chuki,dharau na kulishwa historia chonganishi na kujivika/kujiingiza kwenye mapambano yasiyomuhusu.
 
Kuna mtu aliwaita waje?
 
Hayo malalamiko yawezekana yaliambatana na vitendo vya hovyo ndiyo maana ikachukuliwa kama fujo.

Wangeenda ofisi kulalamika kiustaarabu bila kushout wasingekufuzwa. Au wangepiga namba za simu kwa boss moja kwa moja
Hakuna ufafanuzi walioutoa.Tuache hilo mabanoni hadi watoe maelezo ya kina.
 
Ngoja nikuulize swali la kijinga.Kwa hiyo Waisraeli nchi yao ya asili (rudi kwenye maswali niliyokuomba ujiulize mwanzo kule)ni ipi na wapi katika eneo gani hapa duniani?What a foolish question from "I"?
 
Hao n azayuni wakiwepo mahali lazima walete fitna.

Mkatoliki
Hitler hakuwa mjinga alivyokuwa anawaminya.
 
Zanzibar Ina mambo mengi YA udini Wa hovyo kabisa

Hii issue inaweza kuwafarakanisha Na EU au US ...inaonekana Sio sehemu Salama
Na Rai's Mwinyi yupo ambaye ariruhusu Zanzibar kuwa nchi YA kidini

Na Rai'
 
Again, you are wrong.

Ni wajibu wa mteja kuchagua kukaa hotel yenye sera anazotaka yeye.

Ni wajibu wa wote watakaokuja nyumbani kwangu kufuata sera na miongozo yangu mimi na sio mimi nifuate anavyotaka mtoto wa shangazi yangu aliekuja kunitembelea nyumbani kwangu huku Usagara Tanga.

Sera ya nyumba yangu ni kwamba Wakati wa kula si ruhusa kuwa na simu mezani, na upande wa kulia nimeweka bendera ya free Palestine. Ukiona huwezi taratibu hizi tafadhali usije nyumbani kwangu na uende kwa wengine huko.

Mjadala na wewe nimeifunga hapa maana nimejiridhisha upo kishabiki zaidi na huna hoja za msingi juu ya hili.
 
Hiyo complaining yawezekana yaliambatana na vitendo vya vurugu ndiyo maana wakafukuzwa. Kama wangelalamika kwa kupiga simu kwa namba ya malalamiko/ushauri wasingekufuzwa
Nia ovu huanzia mbali.Ninavyowajua watanzania,kama kweli hao watalii wangerusha ngumi au kuleta fujo( raising a complain)wasingeacha kueleza kwa kina.And,the inquisitive question is,kwa nini imekuwa ni habari kubwa hadi iandikwe?Kwa sababu ni waizraeli?Je,hawakuwahi kufanyiwa "complains" na watu wa mataifa mengine hapo awali?Why now?Je,hatutakiwi kujumlisha namba?🤔🤔🤔🤔🤔
 
And,you're as very wrong as earlier stated.Kwa hiyo huduma zako ni za kiuchaguzi?Ulizieleza kwa mteja hapo awali?Au unamuacha/unamtega mteja ajihangaikie mwenyewe?Kutokujielewa.Au ndiyo mteja akigundua dosari neno "sorry" lipo tayaritayari kwenye lips?
 
Ngoja nikuulize swali la kijinga.Kwa hiyo Waisraeli nchi yao ya asili (rudi kwenye maswali niliyokuomba ujiulize mwanzo kule)ni ipi na wapi katika eneo gani hapa duniani?What a foolish question from "I"?
🤣 wewe ndio umeniuliza swali la kijinga sasa. Kwani huko walikotoka ni wapi? Si ndio kwao huko kwanini wasirudi huko?
 
..."wanadai refund"...!Kwani kudai chako ni kosa ndugu yangu?Umeshindwa kutimiza hitaji/tegemeo la mteja kwa nini asidai umrudishie malipo?Ulimuelekeza kabla kwamba hapo hakuna refund?
Wapewe tu refund yao, wafanyabiashara wa bongo wanapenda kufanya biashara kwa mazoea, wanapokutana na wabishi kama hao inakuwa changamoto sana kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…