Zanzibar ya Rais Mwinyi na tuhuma za ufisadi unaoanzia juu kabisa

Zanzibar ya Rais Mwinyi na tuhuma za ufisadi unaoanzia juu kabisa

Asubuhi ya leo nikikatiza maeneo ya mbuyuni huku Mbezi Beach wakati naelekea mjini tulipofika maeneo ya Kwa Mwinyi, pale ilipo nyumba yake ya miaka mingi rafiki yangu akanionyesha kiwanja kikubwa chenye heka kadhaa.

Akaniambia ni kwa sababu ya mvua tu lakini kuna michakato ya ujenzi wa Mall kubwa imezuiwa na hii hali ya eneo zima kujaa maji. Nilipomuuliza mmiliki wa eneo hilo nyeti ni nani akaniambia ni Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar.

Nikakumbuka kuna video moja inatembea huko instagram inayomuonyesha mzee mmoja wa kizanzibari akiueleza uongozi wa Rais Mwinyi kwamba Nyerere alisema kiongozi wa juu kabisa ni lazima achague moja kati ya mali na utumishi wa watu anaowaongoza.

Video kama zile mara nyingi zinatolewa hadharani baada ya anayeiandaa kuwa ameshajihakikishia kuhusu hilo analolisema mbele ya watu. Mali na utumishi wa watu siku zote ni vigumu sana kwenda pamoja.

Hiyo Mall japo sijaiona ramani yake naweza kuhisi ukubwa wake utakuwa vipi kwa kutazama tu eneo lote ambalo litatumika kuijenga, namna lilivyoanzia huku barabarani likaenda mpaka kule karibu na barabara ya mzunguko inayotokea karibu na Maringo ikazunguka kule usawa wa Beach ya Kawe.

Ni eneo kubwa ambalo mpaka uwezo wa ujenzi umeweza kupatikana maana yake gharama ya ujenzi sio ndogo. Ndio hapa hizi kelele kwamba Mwinyi ni rais mwenye harufu nzuri ya utafutaji wa mali, zinaanza kuwa na mashiko, kama ni kweli hilo eneo linamilikiwa na Mheshimiwa Rais wa Zanzibar.

Inawezekana zikawa ni tuhuma tu, zinazotokana na hulka yetu ya kitanzania. Hata Mama Sitti ambaye ni mzazi wa Rais Mwinyi aliwahi kuzushiwa eti analimiki lile jengo linalotizamana na mahakama ya Kisutu pale kwenye kona ya kuelekea posta mpya, ni tuhuma zilizokuwa zikisikika miaka ile mumewe alipokuwa Rais wa Tanzania.

Hizi ni tuhuma tu lakini la maana sana ni kwa serikali anayoiongoza kuweza kutafuta njia ya kuzijibu. Kwani wenye kutuhumu hufanya hivyo wakiongozwa na roho za chuki kwa Mheshimiwa, Njaa zikituzidi tunaanzisha habari za kumnyooshea kidole kiongozi fulani ilimradi tu kujifariji sisi wenyewe.
Hilo eneo unaloliongelea mbona kama tayari lina majengo KFC
 
Asubuhi ya leo nikikatiza maeneo ya mbuyuni huku Mbezi Beach wakati naelekea mjini tulipofika maeneo ya Kwa Mwinyi, pale ilipo nyumba yake ya miaka mingi rafiki yangu akanionyesha kiwanja kikubwa chenye heka kadhaa.

Akaniambia ni kwa sababu ya mvua tu lakini kuna michakato ya ujenzi wa Mall kubwa imezuiwa na hii hali ya eneo zima kujaa maji. Nilipomuuliza mmiliki wa eneo hilo nyeti ni nani akaniambia ni Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar.

Nikakumbuka kuna video moja inatembea huko instagram inayomuonyesha mzee mmoja wa kizanzibari akiueleza uongozi wa Rais Mwinyi kwamba Nyerere alisema kiongozi wa juu kabisa ni lazima achague moja kati ya mali na utumishi wa watu anaowaongoza.

Video kama zile mara nyingi zinatolewa hadharani baada ya anayeiandaa kuwa ameshajihakikishia kuhusu hilo analolisema mbele ya watu. Mali na utumishi wa watu siku zote ni vigumu sana kwenda pamoja.

Hiyo Mall japo sijaiona ramani yake naweza kuhisi ukubwa wake utakuwa vipi kwa kutazama tu eneo lote ambalo litatumika kuijenga, namna lilivyoanzia huku barabarani likaenda mpaka kule karibu na barabara ya mzunguko inayotokea karibu na Maringo ikazunguka kule usawa wa Beach ya Kawe.

Ni eneo kubwa ambalo mpaka uwezo wa ujenzi umeweza kupatikana maana yake gharama ya ujenzi sio ndogo. Ndio hapa hizi kelele kwamba Mwinyi ni rais mwenye harufu nzuri ya utafutaji wa mali, zinaanza kuwa na mashiko, kama ni kweli hilo eneo linamilikiwa na Mheshimiwa Rais wa Zanzibar.

Inawezekana zikawa ni tuhuma tu, zinazotokana na hulka yetu ya kitanzania. Hata Mama Sitti ambaye ni mzazi wa Rais Mwinyi aliwahi kuzushiwa eti analimiki lile jengo linalotizamana na mahakama ya Kisutu pale kwenye kona ya kuelekea posta mpya, ni tuhuma zilizokuwa zikisikika miaka ile mumewe alipokuwa Rais wa Tanzania.

Hizi ni tuhuma tu lakini la maana sana ni kwa serikali anayoiongoza kuweza kutafuta njia ya kuzijibu. Kwani wenye kutuhumu hufanya hivyo wakiongozwa na roho za chuki kwa Mheshimiwa, Njaa zikituzidi tunaanzisha habari za kumnyooshea kidole kiongozi fulani ilimradi tu kujifariji sisi wenyewe.
Rais ajaye wa Tanzania
 
Asubuhi ya leo nikikatiza maeneo ya mbuyuni huku Mbezi Beach wakati naelekea mjini tulipofika maeneo ya Kwa Mwinyi, pale ilipo nyumba yake ya miaka mingi rafiki yangu akanionyesha kiwanja kikubwa chenye heka kadhaa.

Akaniambia ni kwa sababu ya mvua tu lakini kuna michakato ya ujenzi wa Mall kubwa imezuiwa na hii hali ya eneo zima kujaa maji. Nilipomuuliza mmiliki wa eneo hilo nyeti ni nani akaniambia ni Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar.

Nikakumbuka kuna video moja inatembea huko instagram inayomuonyesha mzee mmoja wa kizanzibari akiueleza uongozi wa Rais Mwinyi kwamba Nyerere alisema kiongozi wa juu kabisa ni lazima achague moja kati ya mali na utumishi wa watu anaowaongoza.

Video kama zile mara nyingi zinatolewa hadharani baada ya anayeiandaa kuwa ameshajihakikishia kuhusu hilo analolisema mbele ya watu. Mali na utumishi wa watu siku zote ni vigumu sana kwenda pamoja.

Hiyo Mall japo sijaiona ramani yake naweza kuhisi ukubwa wake utakuwa vipi kwa kutazama tu eneo lote ambalo litatumika kuijenga, namna lilivyoanzia huku barabarani likaenda mpaka kule karibu na barabara ya mzunguko inayotokea karibu na Maringo ikazunguka kule usawa wa Beach ya Kawe.

Ni eneo kubwa ambalo mpaka uwezo wa ujenzi umeweza kupatikana maana yake gharama ya ujenzi sio ndogo. Ndio hapa hizi kelele kwamba Mwinyi ni rais mwenye harufu nzuri ya utafutaji wa mali, zinaanza kuwa na mashiko, kama ni kweli hilo eneo linamilikiwa na Mheshimiwa Rais wa Zanzibar.

Inawezekana zikawa ni tuhuma tu, zinazotokana na hulka yetu ya kitanzania. Hata Mama Sitti ambaye ni mzazi wa Rais Mwinyi aliwahi kuzushiwa eti analimiki lile jengo linalotizamana na mahakama ya Kisutu pale kwenye kona ya kuelekea posta mpya, ni tuhuma zilizokuwa zikisikika miaka ile mumewe alipokuwa Rais wa Tanzania.

Hizi ni tuhuma tu lakini la maana sana ni kwa serikali anayoiongoza kuweza kutafuta njia ya kuzijibu. Kwani wenye kutuhumu hufanya hivyo wakiongozwa na roho za chuki kwa Mheshimiwa, Njaa zikituzidi tunaanzisha habari za kumnyooshea kidole kiongozi fulani ilimradi tu kujifariji sisi wenyewe.
Mwinyi ana kashfa nyingi sana ,eti Baadhi ya watu wanataka huyu bwana ndio aje huku Bara.

Siwezi chagua mtu kama huyo kuwa Rais wangu,never labda mnichagulie.
 
Kama Waziri wake anaweza kujipa kandarasi ya mabilioni kwenye wizara anayoiongoza huko Zenjibar basi kubali yaishie hapo. Weshanifahamu weye?
 
Kuna ujenzi pia wa kiwanda kikubwa sana kilometres 2 hivi ukitoka Kibada kuelekea Kisarawe B kinatajwa kwamba ni cha kwake pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa inaonekana ni fisadi sana. Sijui wanajihakikishiaje kuwa wataendelea kuwa madarakani kwa muda wote wa maisha yao na mpaka wajukuu wao. Hawajui mambo yanaweza kugeuka overnight na wakajikuta wana hadhi nyingine kabisa. Ila hawa hata likitokea la kutokea nadhani wameshajiwekea fedha na vitega uchumi vingi sana nchi za kiarabu.
 
Hilo eneo unaloliongelea mbona kama tayari lina majengo KFC
Naongelea eneo ambalo ukiwa Tanganyika Packers linakuwa kwa chini, ni huku kwenye hii barabara inayotoka maringo kwenda mpaka pale kwenye kipita shoto cha whitesands.

Wanapaita Mbuyuni ni karibu na nyumba yake Rais Mwinyi kiwanja ni kile kinachofuata baada ya ukuta wa nyumba yake kama unarudi tena Maringo.
 
Asubuhi ya leo nikikatiza maeneo ya mbuyuni huku Mbezi Beach wakati naelekea mjini tulipofika maeneo ya Kwa Mwinyi, pale ilipo nyumba yake ya miaka mingi rafiki yangu akanionyesha kiwanja kikubwa chenye heka kadhaa.

Akaniambia ni kwa sababu ya mvua tu lakini kuna michakato ya ujenzi wa Mall kubwa imezuiwa na hii hali ya eneo zima kujaa maji. Nilipomuuliza mmiliki wa eneo hilo nyeti ni nani akaniambia ni Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar.

Nikakumbuka kuna video moja inatembea huko instagram inayomuonyesha mzee mmoja wa kizanzibari akiueleza uongozi wa Rais Mwinyi kwamba Nyerere alisema kiongozi wa juu kabisa ni lazima achague moja kati ya mali na utumishi wa watu anaowaongoza.

Video kama zile mara nyingi zinatolewa hadharani baada ya anayeiandaa kuwa ameshajihakikishia kuhusu hilo analolisema mbele ya watu. Mali na utumishi wa watu siku zote ni vigumu sana kwenda pamoja.

Hiyo Mall japo sijaiona ramani yake naweza kuhisi ukubwa wake utakuwa vipi kwa kutazama tu eneo lote ambalo litatumika kuijenga, namna lilivyoanzia huku barabarani likaenda mpaka kule karibu na barabara ya mzunguko inayotokea karibu na Maringo ikazunguka kule usawa wa Beach ya Kawe.

Ni eneo kubwa ambalo mpaka uwezo wa ujenzi umeweza kupatikana maana yake gharama ya ujenzi sio ndogo. Ndio hapa hizi kelele kwamba Mwinyi ni rais mwenye harufu nzuri ya utafutaji wa mali, zinaanza kuwa na mashiko, kama ni kweli hilo eneo linamilikiwa na Mheshimiwa Rais wa Zanzibar.

Inawezekana zikawa ni tuhuma tu, zinazotokana na hulka yetu ya kitanzania. Hata Mama Sitti ambaye ni mzazi wa Rais Mwinyi aliwahi kuzushiwa eti analimiki lile jengo linalotizamana na mahakama ya Kisutu pale kwenye kona ya kuelekea posta mpya, ni tuhuma zilizokuwa zikisikika miaka ile mumewe alipokuwa Rais wa Tanzania.

Hizi ni tuhuma tu lakini la maana sana ni kwa serikali anayoiongoza kuweza kutafuta njia ya kuzijibu. Kwani wenye kutuhumu hufanya hivyo wakiongozwa na roho za chuki kwa Mheshimiwa, Njaa zikituzidi tunaanzisha habari za kumnyooshea kidole kiongozi fulani ilimradi tu kujifariji sisi wenyewe.
Mmetumwa kumchafua Rais Mwinyi kwa maslahi ya makundi yenu ya kisiasa.
 
Kuna ujenzi pia wa kiwanda kikubwa sana kilometres 2 hivi ukitoka Kibada kuelekea Kisarawe B kinatajwa kwamba ni cha kwake pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yake Kawa Waziri,balozi,rais Zanzibar,rais bara,alipostaafu akawa mkulima wa matunda kuuza arabuni,Mali za mzee asimamie nani!?..mzee ataacha kuwapush wanawe kiuchumi?!..ukiwa tajiri Haram kuwa kiongozi!?..sera za kufukarisha watu zilishashindwa
 
Naongelea eneo ambalo ukiwa Tanganyika Packers linakuwa kwa chini, ni huku kwenye hii barabara inayotoka maringo kwenda mpaka pale kwenye kipita shoto cha whitesands.

Wanapaita Mbuyuni ni karibu na nyumba yake Rais Mwinyi kiwanja ni kile kinachofuata baada ya ukuta wa nyumba yake kama unarudi tena Maringo.
Wakati wananunua huko nyie mlikua hampataki,mbali na mjini na kenge wengi
 
Raisi Mwinyi anafanya kazi kubwa na nzuri sana , hakika atakumbukwa kwa hiki anachokifanya , tatizo wale wezi waliokuwa wanaiibia nchi wamebanwa hawapati kile walichokuwa wanapata ndio wanaleta tuhuma zisizo na kichwa wala miguu...


Miaka3 mitatu ya raisi Mwinyi tunajivunia.
Chawa katika ubora wako!
 
Nakumbuka kulikua na inshu kama hii miaka 10 iliyopita.ilikua ijengwe mall pale ostabay , katikati ya ubalozi wa marekani na etel. Kilichosaidi kusitishwa, ubalozi wamegoma kutokana na usama wa ubalozi wao, lakini pia kazi kubwa kuhamisha kituo cha police na tanesco. Vikwazo hivyo ndio vilifanya project hiyo isitishwe. Hiki kilikua kipindi cha jk.

Kipindi cha mkapa kunaprojet ya aina hiyo pale nyuma ya rosegorden, kalibu na ttcl. Nayo jk alivyoingia aliisitisha kwaajili ya usalama wa madishi yao ya mawasiliani (satellite).

Hawa viongozi wa kiafrika wakishashika madalaka wakishaiba hela za kutosha, wanakulupuka kutamani kufanyavitu vyaajabu bila ya kujua faida na hasara.
 
Ukiwa unatoka Round about ya Maringo unaelekea Mbezi beach eneo lipo kushoto linatazamana na maghorofa ya National Housing?
Naongelea eneo ambalo ukiwa Tanganyika Packers linakuwa kwa chini, ni huku kwenye hii barabara inayotoka maringo kwenda mpaka pale kwenye kipita shoto cha whitesands.

Wanapaita Mbuyuni ni karibu na nyumba yake Rais Mwinyi kiwanja ni kile kinachofuata baada ya ukuta wa nyumba yake kama unarudi tena Maringo.
 
Back
Top Bottom