Zanzibar 2020 Zanzibar ya sasa inahitaji Viongozi nje ya hawa Watoto wa waliowahi kuwa Marais; akina Mwinyi, Jumbe na Karume

Zanzibar 2020 Zanzibar ya sasa inahitaji Viongozi nje ya hawa Watoto wa waliowahi kuwa Marais; akina Mwinyi, Jumbe na Karume

Huo mtizamo wako

Rais Hussein Mwinyi
Makamu wa pili Makame Mbarawa.

Hii ni upende usipende Hussein Mwinyi ndiye Rais, na Mbalawa akishindwa kuwa makamu Zanzibar ni Waziri wa Ulinzi JMT
 
Kuwa mtoto wa rais kunakunyima vipi nafasi ya kuteuliwa kama vigezo vyote unavyo...
 
Rais wa Zanzibar kwa upande wa CCM ameshajulikana kama Sio Mbarawa basi Masauni. Hao watoto wa vigogo hawataamini watakavyopigwa chini.
 
Kama Wana Sifa Wapewe! Baba Zao Sio Wao. Kwani Ambao Hawakuwa Watoto Wa Marais Jipya Gani Walilofanya? Kama Abdul Wakiri, Salmin Amour Juma, Na Shein, Walifanya Kubwa Gani Likamzidi Aman Abed Karume Mtoto Wa Abeid Aman Karume?
 
Nadhani huu mtego alotegewa Jumbe, akaja Maalimu Seif na wale Magaidi basi na wewe umo. Ajenda ya kusema Bara sijui nini ni ya wazungu wanaotaka Mpemba aliyepo Mwanza afukuzwe kurudi kwao Zanzibar, Msukuma aliyepo chake chake afukuzwe arejee kwao Kishapu, Mzanzibar aliyemuoa Mnyamwezi na wanaishi Isevya Tabora basi watenganishwe na ndoa ife maana hao ni raia wa nchi mbili tofauti wanahitaji kukatiana VIZA ili kuishi Tanzania.

Kwa ufupi wazungu/waarabu wamekua wakitamani sana kuivuruga Zanzibar, na kama walitaka kufanikiwa maana watu kama wewe bado wapo. Hivyo Zanzibar inahitaji mtu anayetambua utu wetu na udugu wetu ktk Muungano (ndiyo maana Seif will never ever ever kuja kuwa rais wa Zanzibar).

Zanzibar inahitaji mtu mwenye maono ya Zanzibar ambayo mtoto wa kiume halindwi zaidi kuliko mtoto wa kike, Zanzibar ambayo dawa za kulevya ni adimu na au hazipatikani kabisa (funga drug dealers wote), Zanzibar ambayo hapa kazi tu, etc

Acha ujinga mkuu
 
CCM Watu wanaowaheshimu japo kuna muda wanawakosoa wameshayachoka sasa haya Majina ya sijui akina Mwinyi, Jumbe na Karume na badala yake wanataka Kuziona Sura mpya kama si ngeni ambazo nazo zitaiongoza Zanzibar kwa Mafanikio makubwa mno na yenye Tija.

Ninawaombeni CCM Mrithi wa Dkt. Ali Mohammed Shein anayemaliza muda wake atoke kwa Mmoja wa hawa niwatajao na ninaowakubali zaidi

1. Mbarawa 51%
2. Nahodha 39%
3. Masauni 10%

Tafadhali CCM wala msipoteze muda wenu kuwajadili sijui watoto wa akina Mzee Mwinyi, Jumbe na Karume kwani hawana tena jipya Kiuongozi.

hivi hufahamu kama Masauni ni mtoto wa kada Mkubwa wa CCM? hufahamu kama baba ake aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya Uchaguzi aliyevurugamatokeo kama Jecha?

Hufahamu kuwa mpaka hapo alipofika kisisasa ni kutokana na Nguvu ya baba ake?
 
hivi hufahamu kama Masauni ni mtoto wa kada Mkubwa wa CCM? hufahamu kama baba ake aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya Uchaguzi aliyevurugamatokeo kama Jecha?

Hufahamu kuwa mpaka hapo alipofika kisisasa ni kutokana na Nguvu ya baba ake?

Mbona na hao wengine Wawili akina Nahodha na Mbarawa nao hujawachambua kwa Chuki zako hizi za wazi wazi Kwake Mchapakazi Masauni?
 
Kwani katiba inasemaje? Unapokua na vinasaba na viongozi waliopita hauruhusiwi tena kugombea?
Naona Watu mnaotoka katika hizi Familia Tatu za akina Mwinyi, Jumbe na Karume sasa mnajitokeza na huu Uzi unawachoma kweli kweli. Poleni!
 
CCM Watu wanaowaheshimu japo kuna muda wanawakosoa wameshayachoka sasa haya Majina ya sijui akina Mwinyi, Jumbe na Karume na badala yake wanataka Kuziona Sura mpya kama si ngeni ambazo nazo zitaiongoza Zanzibar kwa Mafanikio makubwa mno na yenye Tija.

Ninawaombeni CCM Mrithi wa Dkt. Ali Mohammed Shein anayemaliza muda wake atoke kwa Mmoja wa hawa niwatajao na ninaowakubali zaidi

1. Mbarawa 51%
2. Nahodha 39%
3. Masauni 10%

Tafadhali CCM wala msipoteze muda wenu kuwajadili sijui watoto wa akina Mzee Mwinyi, Jumbe na Karume kwani hawana tena jipya Kiuongozi.
Jecha S.Jecha 59%
 
Allah atamfanyia atamfanyia wepesi Dr. Hussein na atakuwa rais ajaye wa zanzibar in 20 days time

Endeleeni Kujifurahisha na Kujidanganya. Wenye Maono yetu tumeshasema na kuonyeshwa zamani sana kuwa Profesa Mbarawa anapita huko.
 
Zanzibar mkoa inakuwaje na raisi cc Mh PINDA
 
Back
Top Bottom