Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

KWENYE SUALA LA AMAN CNA SWALI ACHA AIWEKEE MSISITIZO ILA KWA JECHA MMMHHHHH.....
 
Kwangu mimi binafsi napongeza juhudi za serikali ya magufuli kusimamia amani kwa nguvu zote, big up mtu wa Mungu,,
 
Huko Libya huko .......... hivi hakuna mfano mwingine!!?
 
Hivi kumbe mkulu Natumia air tanzania? Ile iliyonunuliwa na mkwele ikwap

dah Mkwere sijui kawakosea nini!!! hiyo ndege ilinunuliwa na BWM tena tukaambiwa tule majani lakini ndege ya Rais lazima inunuliwe..
 
wakuu! Ni kweli kuwa huyu rais wa zenj ni mpole kama inavyodaia?
 
Akiwa Pemba Rais Magufuli kamwambia Dr. Shein asiogope na kama kuna mtu anafkiri anamshinda basi amwambie haraka maramoja...
 

Attachments

  • 1472829489815.jpg
    48.6 KB · Views: 53
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…