msome mleta mada vizuri. Ameandika kinyumeWacha kutuchekesha wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msome mleta mada vizuri. Ameandika kinyumeWacha kutuchekesha wewe
Kweli kabisa mkuu kwa sasa hivi ni kama wamemezeshwa cd ya kusifia tuWashajua kiongozi wao ni mtu wa kusifiwa na kusujudiwa lazima wamsifie mtukufu
msome mleta mada vizuri utamuwelewa. Mimi nimemielewa anamdhihaki phd uchwara kwa kuandika kinyumeAkili zako sio timamu! Iko siku utalipa gharama za huu ujinga ulioandika hapa.
Asante mkuu wacha nivae miwanimsome mleta mada vizuri. Ameandika kinyume
UDOM NI VI.LA.ZA.kwahiyo unataka kusema rais anaongea mambo mengine yana faida na mengine hayana faida?Kuna mengi mazuri yenye faida kwa Taifa letu anayoongea Rais wetu Mhe.John Pombe Magufuli , lakini kuna baadhi ya watu ambao naweza kuwaita ni wachochezi ambao wananukuu ka kipengele kadogo na kuanza kumshambulia Rais.
Tafadhali tuulishe umma mambo yenye faida ambayo watanzania watanufaika nayo si kuandika mambo negative kwa Rais.
Kwanza mengine Rais anayaongea kama kufurahisha tu . Tafadhali watu wenye tabia hizi waache.
Toa ujinga muungano unakusaidia niini?Muungano wetu ndio umoja wetu. Adui zetu hawaupendi huu muungano. Tutaulinda muungano huu kwa nguvu zetu.
Una akili sana japo una matatizo kidogo kwenye spelling!Ni baada ya kuwepo sintofahamu kubwa tangia uchaguzi uliokuwa na vijimambo Vingci kuisha,amesema anataka Umoja,kwa uhakika speech zake zimejaa Hekima ,busara na matumaini makubwa kwa wananchi wa Zanzibar,ni matumaini yangu kuwa visit yake imeketa mshikamano mkubwa baina ya wanachama wa CCM na CUF,hakika rais tumempata umoja wa kitaifa Zanzabar kuimarika Mara dufu Ndimi Cheyo Mlema,Prospectus DC
ameagizwaaUMETUMWA..
Unatumia kipimo gani mburula?Itakusaidia kujiua haraka kwa maana usiyempenda ndiyo anazidi kung'ara!
na Yale yanayoonekana kwenye TV je?maana jf hata watu laki 5hawafiki!!kavurugwa huyooo!!Hivi mtu anaweza kukuchafua kwa kunukuu maneno yako?
Uko sahihi, na kama watu wengi wangekuwa kama wewe wangemsaidia, tatizo tuna watu wengi ambao hata wakiona kauli zake hazijengi wanataka waonyeshe kuwa zinajenga!Kweli kila mtu ana mtazamo wake. Hata hivyo, maoni yangu mimi, baadhi ya kauli za mkuu huko zenji hazijengi wala kuhuisha umoja wa kitaifa.
Huyo ndie Magufuli. Yeye ameamua kutetea chama chake kwa hali yoyote ile. Wazanzibari tumeikataa CCM. Wala hamna namna ya kuifufua hapa visiwani. Magufuli amejifanya katuni mbele ya halaiki. Mabaraza yote yanamuongelea raisi kwa ujinga na utumbo aliyotuletea huku. Sisi ni wastaarabu sana hatuna haja kuja kusomeshwa na Magufuli. Kama raisi vipi anakuwa na akili kama za mvuta bangi. Namshangaaaa.Kuna vitu vingine anatuchanganya hasa, anasema yeye hawezi kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumsalimia wakati huohuo anahubiri watanzania tushikamane! Hapo unaanzaje kutetea? Kiukweli hotuba zake zinanitia huzuni, nakosa furaha na amani!
wao wako radhi na uongo wa seif tu ! .......maana wapemba wanaamini PEMBA itakuwa dubai bila kufanya kaziMagufuli anafikiri Pemba ni chato ambako bado wanafikiri nyerere ndo mtawala...
Ati anawambia huyu kajifungia hotel wala hajasafiri kwenda ulaya wala wapi. Anawadanganya kwa mapicha..du...OMG