Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Ningehakikishiwa usalama wa id yangu humu jf ningetoboa makandokando yote ya watu aina ya malaika watakatifu ila hapa ndo tupo gizani wakosoaji tunawindwa usiku na mchana. Mungu awalaani wote wenye mioyo ya chuki kwa wanadamu wenzao.
Amen
 
Mimi bado natafakari kauli ya juzi ya Mtukufu rais akimwambia Shein kwamba akimshindwa mtu amwambie yeye, na hazitapita hata dakika 5!

Hivi anamaanisha ndani ya dakika 5 atamfanya nini huyo mtu? Mi bado naona mapichapicha ambayo siyaelewi!!
Ya kuambiwa changanya na yako
 
Japo rahisi linapoweza kufanywa ndani ya dk 5 kwa adui lipo wazi,na nafikiri watatendwa sana.
Tusubiri tuone.
Inasikitisha.
 
Huyu mzee sijui ni dini gani kwani hakuna dini inayohubiri visasi, inashangaza kama hayo maneno yanatamkwa na rais
 
Mimi bado natafakari kauli ya juzi ya Mtukufu rais akimwambia Shein kwamba akimshindwa mtu amwambie yeye, na hazitapita hata dakika 5!

Hivi anamaanisha ndani ya dakika 5 atamfanya nini huyo mtu? Mi bado naona mapichapicha ambayo siyaelewi!!
Dont worry,mtaelewa tuuuu
 
Atakayeleta fyoko fyoko uniambie hapa pana mshikamano wa nguvu karudisha mshikamano
14212708_1185898751468196_7285515648863761040_n.jpg
 
Ningehakikishiwa usalama wa id yangu humu jf ningetoboa makandokando yote ya watu aina ya malaika watakatifu ila hapa ndo tupo gizani wakosoaji tunawindwa usiku na mchana. Mungu awalaani wote wenye mioyo ya chuki kwa wanadamu wenzao.




Bora ubaki kimya, kauli ya kumpatiliza mtu ndani ya dk5 si kauli ya mzaha kama unavyoweza kufikiri. Dk. 5 ni rekodi ya juu zaidi ya ufanisi wa kazi, ni zaidi ya muda aliokuwa anatumia yule aliyekuwa anahamisha mamilioni kila baada ya dk 7-8.

Kutokana na kauli hii isiyo na chembe ya huruma, na ambayo imefunua mikakati ovu na ya siri inayoendelea kufanyika "gizani" sasa ni dhahili kuwa kila baada ya masaa 24-siku moja, watanzania 288 "hupotezwa". Hapa ndipo tulipofikishwa na hakuna mtu yeyote awezaye kuhoji jambo hili kwa sababu kulihoji jambo la namna hii unaweza kujikuta nawe umo miongoni mwa watanzania 288 " wanaoshughulikiwa kila siku.
 
"Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote, mpende na jirani yako kama nafsi yako" mwenzetu hujapata kipaimara? Hujafunzwa hivi kwenye mafundisho?
 
Mara zote madaraka akikasimiwa mtu asiyekuwa na busara lazima utofauti utaonekana wazi..!!

Watu waliambiwa kuwa huyu siyo... Lakini siku zote "seeing is believing" - let them see may be they gonna believe!
 
Tatzo haliondelewi kwa nguvu ww wakati mwingne busara itumike acha kupelekwapelekwa kisa ww ni kada kila upuuzi unasuport 2 tumia elimu yako kufikiri bro
Upuuzi upi? Mtumishi anayelipwa kwa kodi yangu halafu ni mzembe au mla rushwa ni wa nini? Tupa kule!
 
suala la jecha kupewa tuzo nahuku analalamikiwa na wazanzibar wengi ni sawa na kuwatukana.
 
Mimi bado natafakari kauli ya juzi ya Mtukufu rais akimwambia Shein kwamba akimshindwa mtu amwambie yeye, na hazitapita hata dakika 5!

Hivi anamaanisha ndani ya dakika 5 atamfanya nini huyo mtu? Mi bado naona mapichapicha ambayo siyaelewi!!
Ungemuuliza idi amin, sadam Hussein, Adolf h nk wangekupa uzoefu wao
 
Back
Top Bottom