Zanzibar yaridhia mwaka mpya wa kiislamu kuwa siku ya kitaifa

Zanzibar yaridhia mwaka mpya wa kiislamu kuwa siku ya kitaifa

Abu Ubaidah Commando

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
7,591
Reaction score
6,946
Screenshot_20220806-165742_Instagram.jpg
 
Udini ukianza hakuna kitakachoenda sawa, tusubiri damu kumwagika na vikundi vya kigaidi
 
Kwa hiyo Zanzibar tutakuwa na siku zetu za mapumziko ya sikukuu tofauti na Tanzania bara!

Vipi kuhusu watumishi wa umma wanaohudumu maeneo ya Zanzibar katika mambo ya muungano kama (Polisi, wanajeshi, uhamiaji nk) hao katika hizo sikukuu watakaa nyumbani au watakwenda kazini?
 
Kwa hiyo Zanzibar tutakuwa na siku zetu za mapumziko ya sikukuu tofauti na Tanzania bara!

Vipi kuhusu watumishi wa umma wanaohudumu maeneo ya Zanzibar katika mambo ya muungano kama (Polisi, wanajeshi, uhamiaji nk) hao katika hizo sikukuu watakaa nyumbani au watakwenda kazini?

Tanzania bara ni nchi gani ? Kwa nini mnaogopa kusema Tanganyika
 
Back
Top Bottom