Zanzibar yaridhia mwaka mpya wa kiislamu kuwa siku ya kitaifa

Zanzibar yaridhia mwaka mpya wa kiislamu kuwa siku ya kitaifa

Si mtuachie nchi yetu Tu , uvamizi wa kazi gani Na maneno makali. Ugaidi mnao nyinyi mliotuvamia Na kutuuwa Na kila uchaguzi mnakuja kuendeleza mauwaji
Kwani zaidi ya kuwalipa mikopo na kuwalipia bili za umeme na kuwasomesha kwa bodi ya mikopo, ni kipi mnatufaidisha nyie wa urojo?
 
Kwa hiyo Zanzibar tutakuwa na siku zetu za mapumziko ya sikukuu tofauti na Tanzania bara!

Vipi kuhusu watumishi wa umma wanaohudumu maeneo ya Zanzibar katika mambo ya muungano kama (Polisi, wanajeshi, uhamiaji nk) hao katika hizo sikukuu watakaa nyumbani au watakwenda kazini?
Hao watakuwa mzigon
 
Ni kwanini huu “mwaka mpya wa kiislamu” haujafanywa kuwa siku ya kitaifa miaka hii yote? Sababu ilikuwa nini na kipi kimetokea?

Huu mwaka ni mpya kwa Zanzibar tu au mpaka kwa Waislamu wa Bara?

Huu ni Udhaifu/ubinafsi/uzanzibar wa Mama Samia?

Itakuwaje Mufti wa Darisalama nae akipeleka ombi lao kwa Mama?
 
Baada ya kusoma uzi huu nikamkumbuka mchungaji machachari alokuwa akipigania maslahi ya #wao wanzanzibar sisi #Wadanganyika mwenye kukumbuka jina lake ebu nikumbushieni wakuu
 
Wameanza tena, Hawa ndugu zetu, husubiliiii, harafu uanza madai yao ya kipuuzi, sasa tutatumia kalenda ngapi katika nchi moja!! enzi za Mkapa, walitaka wanafunzi wa kike shuleni wavae hijabu, wakataka polisi na wanajeshi wakiislam wavae hijabu,

Wakataka siku ya ijumaa iwe nusu siku, watoto waruhusiwe kurudi majumbani na kwenda kuswali,

Lazima nchi iweke mipaka kati ya dini na issue za nchi/state,
Zenj, ukikutwa unakula wakati wa mfungo ni kosa la jinai!!watu wanaona Wana haki ya kukushambulia.

Political Islam ikipewa nafasi, itazusha balaa, nilisoma na vijana kutoka Zenj pale UD, 1999, walitaka darasa wanalofanyia ibada, liwe kama msikiti, asiruhusiwe kuingia mtu mwingine!! imagine that, demanding to change the public premises to cater for religious needs of one group!! Waafrika tumelogwa
 
Huu ni udini, kuedekeza mambo ya kidini katika nchi isiyo ya kidini ni hatua ya kuingiza nchi kuwa ya kidini, taratibu inaingiza kitu kimoja kimoja mwisha itakuwa jamhuri ya kiislam ya zanzibar kwa kuwa wanajiona ni wengi wa imani hiyo. Huko ni kufufua mzimu wa oic ulioleta kizazaa wakati ule
 
Kwa hiyo Zanzibar tutakuwa na siku zetu za mapumziko ya sikukuu tofauti na Tanzania bara!

Vipi kuhusu watumishi wa umma wanaohudumu maeneo ya Zanzibar katika mambo ya muungano kama (Polisi, wanajeshi, uhamiaji nk) hao katika hizo sikukuu watakaa nyumbani au watakwenda kazini?
Kuna watumishi hawanaga hizi siku
 
Yaani sehemu yeyote pakijaa waislam wengi hiyo ua sio sehemu salama kuishi
Mimi kinacho nipa wasiwasi na hawa ndugu zetu mara nyingi ni watu wa ovyo saana
 
Back
Top Bottom