Zanzibar yatangaza bei mpya za umeme

Halafu Tanganyika wenye umeme wao bei ziko juu balaa na wamekataa kushusha licha ya kukamilika bwawa la Mwl Nyerere.
 
Huku tuliambiwa "haiwezekani" halafu kule inawezekana na hawana source of power; wanachukua huku. RIP JPM
 
Wanakula matunda ya Stiglers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…