Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhhh wewe ni mtaalam wa pande hizo nini?
Mwambie arudishe shati la King of all social media..Le Mutuz
Safi sana.Na heshima iwepo!hahahaha..wifi yako kaijua id yangu basi tabu tu. Hapa akiingia tu akiona hii comment adhabu yake ni kulala mzungu wa nne mwezi.
Safi sana.Na heshima iwepo!
hahahaha..wifi yako kaijua id yangu basi tabu tu. Hapa akiingia tu akiona hii comment adhabu yake ni kulala mzungu wa nne mwezi.
mmmmmh unaonga mkono hio adhabu???
Kakukomesha aiseeee hhhhhaaa
Sasa je? Wewe ni kaka yangu na yeye ni mwanamke kama mimi.Siwezi kukuunga mkono katika hili.
ni kweli wakuu zari bado sana kwa wema, wema mzuri na anajua sana,namuunga mkono wema yupo juu sana,nadhani wote mtakubaliana nami hapa au sio wakuu?
Mwambie arudishe shati la King of all social media..Le Mutuz
Ahahah, au kama kweli ni Tv station itakuwa ni ya mtu mwingine anampigia promo, ndomo hana ushuzi huo
Au labda baba riz amfungulie then asimamie kwa niaba ya wasanii wenzie
Mhhhhh wewe ni mtaalam wa pande hizo nini?
Hajakosea itakua kweli huyo n kichaa c unajua vichaa ni wengi ila hawajuani,cheki hili limama lenye wajukuu c heri lingevaa ckyupi ili lionekane vizuri yani full HD
Chefuuuu! Kwanini watu wasilibake huko likome?
Hebu niambie hiyo n kyupi au bukta yani heri angekuja 2 kavaa kyupi n sidiria angependeza
Hahahahaa wenyewe wanaita bambino!
Yeye kasikia all white party basi akaamua kuonesha hadi vya ndani ajulikane kua alivaa kila kitu cheupe!
Hata hivyo huhitaji akili ya ziada kujua huyo ni muuza papa tu maana mwanamke mwenye heshima zake hawezi kuvaa hivyo.