Zari All White Party: Diamond kuzindua TV station yake mei 1 Mlimani City

Zari All White Party: Diamond kuzindua TV station yake mei 1 Mlimani City

Watanzania jamani tunasikitisha. Yaani mwenzao anajaribu kufanya kitu wengine wanamuona anapenda sifa. Acheni hili linchi liwe na watu masikini manake wananchi wenyewe tuna akili za kimaskini. Hivi mtu awe anananzisha online tv, pay tv, tv channel kwani tatizo lipo wapi? Mchawi aliyeliroga hili taifa sijui kafia wapi manake katuacha watu na husuda zetu.

Big up Diamond, achana na maneno ya wakatisha tamaa wasiopenda kuwaona wenzao wanafanya chochote na wakiona lazima wakitoe kasoro manake hiyo ndo ada yetu. Hata humu majumbani mwetu unakuta mtu ana uwezo wa kumtoa mwenzake kimaisha lakini hafanyi hivyo kwa kuwa anataka kila siku uwe kama jana. Furaha yangu ni kuona wasanii wetu wakifanya mambo mengi zaidi na kama ataanza na Online TV basi baada ya muda aangalie uwezekano wa kuanzisha tv channel za kawaida hata kama ni kwa ubia badala ya kumuona eti anapenda sifa. Na kama anafanya hivyo kwa kupenda sifa bado siwezi kumdhihaki. Swali kwa wale wanaomponda. Je, ni wangapi miongoni mwenu wenye huo uwezo? Au hamtaki kwa kuwa mtaonekana mnapenda sifa?
 
Mmh mwenzangu huyo baba naniliu anavyompendelea diamond utafikir yeye ndo msanii pekee, mara amnunulie mashati ulaya, mara waalikane ikulu, maana ndomo ikulu anaingia kama chooni, mwishowe wafikiriwe vibaya mxiuuuuuuu!!!
JK hana hiyana kwa mtu anayeipeperusha bendera yetu! Hata Hasheem Thabeet kabla hajaaribu mwenyewe nae alikuwa na uwezo wa kwenda pale mjengoni bila shida. Kama una kumbukumbu, hata alipofika Obama, katika hotuba yake Obama alimtaja Hasheem Thabeet! Unafikiri Obama alimfahamu vipi Hasheem kama sio kupitia kwa JK?
 
duh! huyu jamaa ana fedha jamani! hapo bado kununua private jet kama P Square. Hongera zake kama hajawezeshwa na Raia Namba 1 TZ tu!

Amenunua private jet au kanunua charter vile cessna ndogo za watu 4? Private jet standard sio chini ya $20m ambayo na uhakika hana kama.
 
Warumi wewe, sometimes unaniamuse, sometimes unaniboa kama hivi why man. Why? Distinguish yourself from others please kwa sababu mchango wako huwa unanifanya nikuweke kundi fulani zuri but when it comes to this...

Pole ndugu, but siwezi kuwafuraisha wote kama mnavyotaka, nina mapungufu yangu pia, nisameheni ninapowakwaza
 
Watanzania jamani tunasikitisha. Yaani mwenzao anajaribu kufanya kitu wengine wanamuona anapenda sifa. Acheni hili linchi liwe na watu masikini manake wananchi wenyewe tuna akili za kimaskini. Hivi mtu awe anananzisha online tv, pay tv, tv channel kwani tatizo lipo wapi? Mchawi aliyeliroga hili taifa sijui kafia wapi manake katuacha watu na husuda zetu.

Big up Diamond, achana na maneno ya wakatisha tamaa wasiopenda kuwaona wenzao wanafanya chochote na wakiona lazima wakitoe kasoro manake hiyo ndo ada yetu. Hata humu majumbani mwetu unakuta mtu ana uwezo wa kumtoa mwenzake kimaisha lakini hafanyi hivyo kwa kuwa anataka kila siku uwe kama jana. Furaha yangu ni kuona wasanii wetu wakifanya mambo mengi zaidi na kama ataanza na Online TV basi baada ya muda aangalie uwezekano wa kuanzisha tv channel za kawaida hata kama ni kwa ubia badala ya kumuona eti anapenda sifa. Na kama anafanya hivyo kwa kupenda sifa bado siwezi kumdhihaki. Swali kwa wale wanaomponda. Je, ni wangapi miongoni mwenu wenye huo uwezo? Au hamtaki kwa kuwa mtaonekana mnapenda sifa?

Diamond atakusikia kwa hisani ya warumi
 
Last edited by a moderator:
Kwa mfano ile unayoiona kwenye video yake ya number one ni $35m sasa kama utakataa na hapa acha.
wewe ulitaja bei ya jet inayoonekana kwenye video ya number one au umesema the cheapest private jet ni $ 20 million? Lakini kubwa zaidi, biashara ya private jets haina tofauti na biashara za magari; kuna used na new na vile vile kuna luxuary private jets na private jets za kawaida. Vile vile kuna private jets zenye uwezo wa kubeba watu wengi hadi zile zenye uwezo wa kubeba abiria chini ya 10 ( sio charter)! Kwahiyo, kwa used, unaweza kupata PJ kubwa chini ya $10 million na kwa zile ndogo (kwa maana ya uwezo wa kubeba abiria) zipo unazoweza kupata hata kwa $ 5 million or less tena zikiwa ni brand new.
 
Mmh mwenzangu huyo baba naniliu anavyompendelea diamond utafikir yeye ndo msanii pekee, mara amnunulie mashati ulaya, mara waalikane ikulu, maana ndomo ikulu anaingia kama chooni, mwishowe wafikiriwe vibaya mxiuuuuuuu!!!

hapa umeteleza
 
msipagawe mbona alishaeleza kitambo kuwa ni Online TV shida iko wapi? hongera management ya diamond maana inazidi kuwa yenye ubunifu wa hali ya juu hususani katika kukabiliana na soko la MUZIKI.
 
Hiyo ndio itakuwa TV yangu nitakayo kuwa naitazama
 
sijamwandikia Diamond bali nimechangia mada na ikiwa wewe una lengo tofauti na uchangiaji wa mada wa kawaida basi hilo ni tatizo lako wewe.

Mimi sina tatizo labda wewe
 
Back
Top Bottom