chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
dah wabongo tuna chuki mbaya
mi simpendi mondi ila jamani dah let him succeed
Asante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah wabongo tuna chuki mbaya
mi simpendi mondi ila jamani dah let him succeed
Mtaishia kuimba "kiki hiyo" mwenzenu anaendelea kusonga tu!Kiki hiyo
Nisaidie kushangaa, tena wazee ndo wenyewe kwa kupenda mafuta ya elizeti
Mie huwa naangalia tu
Decoder za Youtube.hiyo tv ya Shigongo inapatikana kwenye decoder ipi/zipi?
warumi message yako ni mbaya kumbuka yule ni mtu mzima kama babu pia ni raisi wa nchi so mambo ya chooni ni kama unamdhalilisha sio fair
Ahahah, au kama kweli ni Tv station itakuwa ni ya mtu mwingine anampigia promo, ndomo hana ushuzi huo
Au labda baba riz amfungulie then asimamie kwa niaba ya wasanii wenzie
Acheni hizo! Au wekeni ushahidi hapa.Mmh mwenzangu huyo baba naniliu anavyompendelea diamond utafikir yeye ndo msanii pekee, mara amnunulie mashati ulaya, mara waalikane ikulu, maana ndomo ikulu anaingia kama chooni, mwishowe wafikiriwe vibaya mxiuuuuuuu!!!
duh! huyu jamaa ana fedha jamani! hapo bado kununua private jet kama P Square. Hongera zake kama hajawezeshwa na Raia Namba 1 TZ tu!
Leo nimejaribu kusearch kwa bidii kwenye social media karibu zote kuangalia km bwana dimpoz atapost chochote kuhusu white party lakini nimeambulia patupu...😞😞
Ninachojiuliza sasa...hawa jamaa c walikua washkaji wazuri sana,au ndo beef linalosemekana lipo kweli...😏😏