Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Mnafikiri ni yeye basi anayetoa msaada, kwa pesa gani? Ni makampuni tu yako nyuma yake kumsuport na sidhan kama wataweza kulipia watu 500 kweli labda 50 hyo sifur nyingine kajiongezea, c unamjua domo kwa kupenda sifa.

Yeye mwenyewe kapanga na analipiwa kodi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ila kwanini mtu unakubali ugomvi wa baba na mama uharibu uhusiano wako na watoto??
Kuna mama jeuri sana, mtoto unampenda lakini hata kuonana naye anakuwekea masharti makali, ukimtumia hela anaidharau anaona ndogo kwavile anajiona tajiri, dawa ya mama wa namna hiyo ni kuwakaushia tu. Na huyu Bosslady namuona ana swaga hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafikiri ni yeye basi anayetoa msaada, kwa pesa gani? Ni makampuni tu yako nyuma yake kumsuport na sidhan kama wataweza kulipia watu 500 kweli labda 50 hyo sifur nyingine kajiongezea, c unamjua domo kwa kupenda sifa.

Yeye mwenyewe kapanga na analipiwa kodi


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kwani hata kama kuna makampuni yanayompa back up wewe inakuuma nini.?
 
Mimi hapa nimejifunza kitu kiimani,
Laana ipo, ukimkataa Baba kwasasababu ya malezi na ugomvi wa baba na mama na wewe kuna uwezekano watoto wako wakakukataa kwasabababu zile-zile.
Uzuri Wa mitandao unatuza hizi habari Watoto wakikua watakuja jionea Na watachagua upande kama alivyochagua yeye kua na mamake na kumtelekeza Baba
 
Back
Top Bottom