Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Kijitu km hamisa kitoto cha tandika kimesoma kata tandika unategemea dai amlale apige kimya mweeeeh[emoji13] [emoji13] [emoji13] kashaweka rekodi ya dunia mwenzio lol[emoji12]
Hafu nahisi hamisa huvujisha Ku date na dai mwenyewe kwa fekero hata hivo vihereni itakuwa aliviacha kusudi tu
 
hahahahaha....kuna maneno km utam ww big G,lilitamba sana mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000 ama hakika hata mm limenikumbusha mbali.
Mimi pia, hadi kuna mwnafunz mwenzetu tulikuwa tunamwita mgoloko [emoji23] [emoji23]
 
Duuuh asee Kama ni kweli zari ameshachokwa akubali ukweli tu, sio kwa dharau hizo ila alianza pale alipimwambia atoe mimba zari akakataa
Na watu wangeendelea kumshobokea ka mimba ya tiffah ya huyu mtoto asingefikisha mwaka angebeba tena. Anapenda attention alishaona wabongo wamshobokea Uganda hawana hata mda
 
Ndio maana mnagongwa na kuachwa, kwi kwi kwi kumbe mnapenda kuchezewa na zari
 
Ndio maana mnagongwa na kuachwa, kwi kwi kwi kumbe mnapenda kuchezewa na zari
Anaechezewa na Zari nani?

Huyo Zari na misa wote wahuni

Umemtukana Wema na Mondiii

Sema binamu hupendi tu Dai awe na wabongo!!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Naona cofee table umechefukwaaaa
 
na ambae hajwahi kutokwa na utoko...
awe wa kwanza kumpiga jiwe hamisaa...
afu k chafu ina ladha yake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo hamisa Malaya tu anatiwa hovyo hajielewi, ndio maana limeachwa na majizo
 
Huyo hamisa Malaya tu anatiwa hovyo hajielewi, ndio maana limeachwa na majizo
Yy sio wa kwanza kuachwa

Yaelekea ulimtokea Hamissa kakuchinjia baharini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Poleeeee!!!

Wangapi wamezaa wakaachwa,kaachwa Angeline jolie seuse Hamisaa!!

Ukiibiwa bwana nawe mtafute mnyonge umuibie!

Povuu jingi team bibi kizeeee!!

Muambienk atafute saizi yake mzee mwenzie!
 
Umeongea point mno hapo juu. Ila tu asiwatenganishe watoto na baba yao bana. Pamoja na yote, Dai anampenda na kumjali sana tiffah (ingawa akifanya hivyo, Dai akili itamkaa kidogo lol)
hakuna namna baba anaweza kusema anampenda mtoto bila kumpenda mama..its a lie
 
hakuna namna baba anaweza kusema anampenda mtoto bila kumpenda mama..its a lie
Hahaha unaishi dunia ipi kwani? Wababa wa siku hizi wanapenda tu watoto wao. Ndo maana mwanamke atakwambia "he has never been a good hubby to me", but he's a great father to his children". Siku hizi si mnazaa tu mnasepa na wanenu
 
Akome

Alikuwa haishi kumchamba wema....

Kutwa kutukana wagumba

Acha karma ifanye kazi sasa
 
Zari ana msururu kama treni ya tazara ila hamisa ndio anaonekana malaya kwa ajili ya majizo tu?

Mwanaume aliyezaa na wanawake tofauti tofauti????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…