Zari Amvaa Mange Kimambi..

Nataka kuzeeka kama zari
 
Wealthiest estate nyumba inauzwa 400K??Masaki yenyewe hakuna nyumba inauzwa 400K labda Sinza
 

Kachezewa lakini kapewa nyumba Tena south , haya nyie child support mmetukanwa wachawi Na bado nyumba hamjapewa ***** zenu, Mna gundu nyie🀣🀣🀣
 
Wamesahau fake shape ya vera na ufake wa huddah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila kuwa mfuasi wa mange raha sana leo akisema nyumba sio ya dai,misukule inaitia yeebaa kesho nyumba ya dai wanaitikia tawileeee

Ahahah binamu umejua kunivunja mbavu aiseheh , ahahah yani wafuasi wa mange akili zao wanazijua wao tu , naona mange akisema kesho mwisho wa dunia, watamuamini
 
Mange bwana si uliaminisha watu ile nyumba ya kupanga leo unameza matapishi yako

Ndo apo sasa , Leo nyumba imekua ya dai, yan mange Ana stress na maisha ya zari , yan anataman angekua zari sema Ndo vile , Hana bahati , maana sura ngumu kama tako la sokwe
 
Gharama zake sio ndogo Mange yalimshinda mbona. Muke ya muzungu, power of nyau, anaishi kwenye mansion (picha anapiga reception).
Mwingine mpaka atoke ndio apige picha huna pa kuishi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ahahahaah mange angekua na kwake hakyamungu , nadhan angeshoot reality show kabisa , Tatizo shoga yetu Yule yamemkuta, anaishi slum uko US , hata kupiga picha kitanda chake hawez, she does not have anything to show off , that's why anam attack zari , dah ***** yan na elimu yake yote ile hata pa kukaa Hana , Sasa elimu na ukahaba kafanya ila ***** bado life gumu, lazima upanick🀣🀣
 
Mie naomba tu niwekewe hizo herufi tatu kwenye nyota 😜😜😜
Hahahhaaa BAK niruhusu nimsaidie Sky Eclat kujibu swali
Sky Eclat kuya huku utupe ruhusa
Wanawake tuna shida kwelikweli
Huyu mganda angetulia sasa kujidhalilisha kwenye mitandao mtu mwenye watoto wakubwa sijui inamsaidia nini?
Walitafuta umaarufu kwa njia ya mitandao na kuporomoka kwao ni kwa njia ya mitandao
*Mange amemgusa kunako ndio maana amewaka
 
Mimi sikujua kama Bi Tukinao anajua Kiswahili mpaka matusi, bath robe la honeymoon jana tumeonyeshwa. Uchumba wenyewe si jui ni wa miezi mingapi tunatangaziwa harusi kabla ya engagement ring wala posa.
 
Hahahahaha lol! Mzima weye? Zari ni mtu mzima mama wa watoto watano. Kama ameamua kudate kwanini amfiche new BF? Anaweka picha kule insta wakiwa pamoja lakini anamficha akiacha mikono kidogo tu 😳
Nahisi wambeya walimtonya DP kwamba P Square ndiyo yuko na mzazi mwenzio na yeye akaamua kuwalipua kwamba walikuwa wanachepuka siku nyingi. Kama huyo anayefichwa ni P Square basi wakiamua kuonekana rasmi kitaa DP ataonekana alisema kweli vinginevyo P Square anaweza kuona ishakuwa noma akasepa kimoja.

Sijaziona lakini hizo herufi tatu za kujazilia kwenye lile neno 😜😜

 
Mimi sikujua kama Bi Tukinao anajua Kiswahili mpaka matusi, bath robe la honeymoon jana tumeonyeshwa. Uchumba wenyewe si jui ni wa miezi mingapi tunatangaziwa harusi kabla ya engagement ring wala posa.
Hana uchumba wala harusi wala ndoa anawarusha roho wajinga wenzie
Depression sometimes inakufanya unafanya yasiyofanyika
Anajiliwaza baada ya domo kutangaza hamuachi tanasha natasha whatever her name is...
Wote wawili ni 'silent cry babies (domo na bi tukinao) na Seeking attention na sympathy kwa watu'
 
Hahaha kabisaa na wa kwanza kutuletea screenshot humu. Eti mange kasema bwahahaha
Ahahah binamu umejua kunivunja mbavu aiseheh , ahahah yani wafuasi wa mange akili zao wanazijua wao tu , naona mange akisema kesho mwisho wa dunia, watamuamini
 
Anasema Domo akitaka kuona watoto atawaleta, kama mwanaume humtaki unasema ma lawyer wenu wakutane sasa hii ya kuleta watoto mbona ni sitaki ninataka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…