Yan humu nimegundua watu baadhi ya wanawake wana envy maisha ya zari maana mpaka kukumbushiana habari za 2017 kweli zari kiboko. Nikiwa mkubwa nataka niwe kama zari [emoji4][emoji4][emoji4]
Miss POWER OF NYAU a.k.a cha uwongo ni mfa maji tu haishi kutapa tapa.
hahaaas...asee nimecheka kinyamaaaWamesahau fake shape ya vera na ufake wa huddah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila kuwa mfuasi wa mange raha sana leo akisema nyumba sio ya dai,misukule inaitia yeebaa kesho nyumba ya dai wanaitikia tawileeee
Mtupe muda na sisi wapambe wa zari tuvute pumzi aiseeehBando la chuo wiki hadi wiki
Wapambe wake wameshikika safari hii
Ila mwanamke mwenye miguu kama ya Zari nampenda sanaAna ubeauty gani!!! Miguu minene kuzidi paja ndo ubeauty!!! Wa kawaida sana yule maza asitutishe na umaarufu tu
Huyo Zari ndo level Zake hizo maana nayeye kaachwa kwa kuchapwa matukio mpk katimkia...[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]Zari ni km akina Hamisa ndo maana wote kawalala kawapiga mimba kawazalisha kawaacha
Zari kachezewa mpk kwenye msiba wa mama yake,kashikwa shikwa mbele ya hadhara na hajaolewa inauma asikuambie mtuu!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
Wamesahau fake shape ya vera na ufake wa huddah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila kuwa mfuasi wa mange raha sana leo akisema nyumba sio ya dai,misukule inaitia yeebaa kesho nyumba ya dai wanaitikia tawileeee
Mange bwana si uliaminisha watu ile nyumba ya kupanga leo unameza matapishi yako
HahahahahahahahMie naomba tu niwekewe hizo herufi tatu kwenye nyota πππ
Hahahahahahahah
Gharama zake sio ndogo Mange yalimshinda mbona. Muke ya muzungu, power of nyau, anaishi kwenye mansion (picha anapiga reception).
Mwingine mpaka atoke ndio apige picha huna pa kuishi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana Mkuu.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ ni aje Mkuu?
Nimecheka sana Mkuu.
Hahahhaaa BAK niruhusu nimsaidie Sky Eclat kujibu swaliMie naomba tu niwekewe hizo herufi tatu kwenye nyota πππ
Mimi sikujua kama Bi Tukinao anajua Kiswahili mpaka matusi, bath robe la honeymoon jana tumeonyeshwa. Uchumba wenyewe si jui ni wa miezi mingapi tunatangaziwa harusi kabla ya engagement ring wala posa.Hahahhaaa BAK niruhusu nimsaidie Sky Eclat kujibu swali
Sky Eclat kuya huku utupe ruhusa
Wanawake tuna shida kwelikweli
Huyu mganda angetulia sasa kujidhalilisha kwenye mitandao mtu mwenye watoto wakubwa sijui inamsaidia nini?
Walitafuta umaarufu kwa njia ya mitandao na kuporomoka kwao ni kwa njia ya mitandao
*Mange amemgusa kunako ndio maana amewaka
Hahahhaaa BAK niruhusu nimsaidie Sky Eclat kujibu swali
Sky Eclat kuya huku utupe ruhusa
Wanawake tuna shida kwelikweli
Huyu mganda angetulia sasa kujidhalilisha kwenye mitandao mtu mwenye watoto wakubwa sijui inamsaidia nini?
Walitafuta umaarufu kwa njia ya mitandao na kuporomoka kwao ni kwa njia ya mitandao
*Mange amemgusa kunako ndio maana amewaka
Hana uchumba wala harusi wala ndoa anawarusha roho wajinga wenzieMimi sikujua kama Bi Tukinao anajua Kiswahili mpaka matusi, bath robe la honeymoon jana tumeonyeshwa. Uchumba wenyewe si jui ni wa miezi mingapi tunatangaziwa harusi kabla ya engagement ring wala posa.
Ahahah binamu umejua kunivunja mbavu aiseheh , ahahah yani wafuasi wa mange akili zao wanazijua wao tu , naona mange akisema kesho mwisho wa dunia, watamuamini
Anasema Domo akitaka kuona watoto atawaleta, kama mwanaume humtaki unasema ma lawyer wenu wakutane sasa hii ya kuleta watoto mbona ni sitaki ninataka.Hana uchumba wala harusi wala ndoa anawarusha roho wajinga wenzie
Depression sometimes inakufanya unafanya yasiyofanyika
Anajiliwaza baada ya domo kutangaza hamuachi tanasha natasha whatever her name is...
Wote wawili ni 'silent cry babies (domo na bi tukinao) na Seeking attention na sympathy kwa watu'