Mm nilimuonaga zamani uyu mama kua hajiheshimu wala sio kama watu wanavyomdhani
Tangu achukue mavideo ya nusu uchi chooni na diamond, mama ake kafa kaenda mombasa na bwana ake kabla ya 40
Alinichoshaga kabisa
Hahahaha umejipa kazi kujibishana na mashabiki maandazi wasiooona kuwa boss wao anayo mapungufu yake wao kila kitu ni kupiga makofi,,,Angekua hana stress asingekua anaota hawara mume within two days za mahusiano...tujifunze kua realistic jamani tusiishi kwa kujipa moyo
Zari anatamani kuolewa ila hajapata wa kumuoa kama kila kitu kapata except marriage hicho ndicho kinachomfanya ang'ang'ane na vitoto ambavyo havijaoa akiamini vitamuoa!!!
Sikujua kama Mange ana matatizo, yapi hayo
Hahaaa....Zari yuko kama mlinzi pale...Hamisa amepangiwa halafu ktk maisha usipende kuishi kama Fulani!Kwani dada yetu tununu anafeli wapi?? Nyumba za mill 60 zipo achama na ile ya 450ml ya south, yeye si apewe hiyo kwa ajiri ya mtoto!!!
Wanawake wote ni viazi sana ndugu yangu, inategemea ni majira gani tu. Ila zari ana akili sana.
Haya mambo yangekuwa mepesi namna hii, ingekuwa poa sana.Hahaaa....Zari yuko kama mlinzi pale...Hamisa amepangiwa halafu ktk maisha usipende kuishi kama Fulani!
Bora huyo Hamisa aliyepanga kuliko huyo anaedhalilishwa usiku na mchana hana tofauti na mlinzi Mama wa5
Tatizo unalazimisha wote tuwe na mtizamo sawa, mahaba yako yasikufanye uwe kipofu kuona huyo mama kachanganyikiwa, mambo ya nyumba mimi wala sipo huko, namuongelea mambo yake kujibu watu hovyo na kuwadharau, hao watanzania kutwa wanaitwa mabox na low life lakini bado tu wanamfata sijui lugha ngumu au ndio kutokujielewa kwa wengi,
Na kusema eti kuweka mitandaoni sio tumuamulie kama alikua hataki azungumziwe asingeweka mitandaoni, mtu yupo late 40s huko anajifanya yupo mid 30's mpk UK wakamuumbua hahaha,
kwa title yake kushinda mitandaoni kutukanana na kina Hamisa, Wema na Mange ni ujinga wa kiwango cha kimataifa, ndio maana nikatolea mfano wa Huddah Monroe wakati mwingine bhana shule inasaidia sana.
Exactly unachosema angekaa kimya kama fans tayari anao sasa angekua busy na maisha yake...show off angeachana Nazo..maana yeye ndo anadhalilika Leo mange ameweka utupu wa Zari tena mtandaoni aibu tupu
Zari amuige Huddah au Vera Sidika wameshakua maarufu sasa wanatengeneza pesa kupitia majina yao!!
Zari hana biashara yoyote zaidi ya Chuo ambacho ukute sio chake na mambo vyuo huagani na wateja..
Atulie ana watoto hata wazungu hawako hvyo...!!!
Watoto wa5 bado unashindana na kina Mange ambao hawana cha kupoteza utaumia tu!!
Huddah na Vera ndo real bossladies hata kama wanadanga lakini wana biashara zinaonekana
Hahaaa....mjini pagumu!Sio mzima kichwani na umesahau kwenye msiba wa mama yake wakawa wanashikana shikana kimahaba na Mond ambae leo hii anamuita 'domo' wakati kamjazia madomo humo ndani, hahahaha
Hahaaa....Zari yuko kama mlinzi pale...Hamisa amepangiwa halafu ktk maisha usipende kuishi kama Fulani!
Bora huyo Hamisa aliyepanga kuliko huyo anaedhalilishwa usiku na mchana hana tofauti na mlinzi Mama wa5
Mimi nitoe hapo kwenye viazi nafasi hiyo muweke mama yakoWanawake wote ni viazi sana ndugu yangu, inategemea ni majira gani tu. Ila zari ana akili sana.
Hahaaa.....achana na huddah na Vera kabisaa wametulia wanakula pensheni boss wenu anaweweseka tu mitandaoni kuprove wambea wrong!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]maisha ya kusemwa anayataka na tutamsema shoga akoo mpk aombe poo!!!Ahahah , huddah na Vera wanadanga Ila hawana nyumba , upo nyonyo ? , zari doesn't need to hoe to get a good life , she has been slaying since hujazaliwa, and she will forever reign , bosslady title is her throne , mwacheni ale maisha, sio yeye aliyewatuma mzae na wanaume za watu bila kutumia akili [emoji1787][emoji1787]
Yes Mange marekani hana nyumba amepanga apartment na hajajitapa kuwa ni boss lady.Nyokoo muulize anakaa wapi? Mbona haonyeshi kwake ? She doesn't have anything to show off that's y anaumia na maisha ya zari, mange angekua ata na piki piki dunia ingejua
Yeye mwenyew alishasema nyumba Hana , lazima roho imuume
Mimi nitoe hapo kwenye viazi nafasi hiyo muweke mama yako
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]ni suala la muda tu nyumba kama hili lilivyokuja yetu macho mchawi bando tuu!!!Mbona hamisa hajamueka angalia na yeye awe mlinzi pale madale[emoji1787][emoji1787], ***** pussy so good , nyoko nyoko, mmeishia kupangiwa na rent mmeachiwa mlipe wenyewe[emoji1787][emoji1787], zari yuko tu ghorofan Ana sip champagne [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji6][emoji3][emoji3]watu mna maneno daah!na Dada zake,mkewe,mkwewe na shangazi zake etiiMimi nitoe hapo kwenye viazi nafasi hiyo muweke mama yako
mpenzi unashusha fact mno 👏👏👏yaani nimeona video yake anatoa ulimi nje yule mama hii ishu imemgusa mno.Tatizo unalazimisha wote tuwe na mtizamo sawa, mahaba yako yasikufanye uwe kipofu kuona huyo mama kachanganyikiwa, mambo ya nyumba mimi wala sipo huko, namuongelea mambo yake kujibu watu hovyo na kuwadharau, hao watanzania kutwa wanaitwa mabox na low life lakini bado tu wanamfata sijui lugha ngumu au ndio kutokujielewa kwa wengi,
Na kusema eti kuweka mitandaoni sio tumuamulie kama alikua hataki azungumziwe asingeweka mitandaoni, mtu yupo late 40s huko anajifanya yupo mid 30's mpk UK wakamuumbua hahaha,
kwa title yake kushinda mitandaoni kutukanana na kina Hamisa, Wema na Mange ni ujinga wa kiwango cha kimataifa, ndio maana nikatolea mfano wa Huddah Monroe wakati mwingine bhana shule inasaidia sana.
Hahaha amuweke mama yake naye ni mwanamkeUwuiiiiii asante kunichekesha