Tetesi: Zari Ana mtoto wa 1988

Tetesi: Zari Ana mtoto wa 1988

Umbea wenu umekolea. Muacheni binti wa watu apumue jamani. Ndiyo maana mimi ni star lakini sitaki kujulikana maana watu wanafahamu kufake mambo ya uongo yakawa ya kweli. Na Diamond akiwasikiliza atavunja mahusiano na akivunja Zari nitamuoa mwenyewe. Mark my words
 
Habari zenu wakuu..

Mm binafs nimekuwa mfuasi mkubwa wa Mange kimambi kwasababu anafichua ukweli uliojificha katika jamii.

Kwa miaka mingi zari amekuwa akimficha mtoto wake wa kwanza ambaye amemzaa akiwa shule na kudanganya umma kwamba yule ni mdogo wake. Sasa mambo yameharibika mange kashamwaga Mchele.. Na pia zari Hana miaka 36 Kama watu wajuavyo Ana miaka zaidi ya 40 ..

Kwa hali hiyo mtoto wa zari anamzidi babake wa kambo Mwaka mmoja.[emoji23] [emoji23] [emoji23] daah nimecheka Sana baada ya kutembelea page ya mange, swali limekuja kwann zari aongope kwamba zuleha sio mwanae? Bali mdogo wake?

Nimewawekea picha hapo chini[emoji116] [emoji116]
[/IMG][/IMG]
Kama ndiyo hivi sasa yule msela si mwanaye????????????
Haki za binadamu sasa inatakiwa kuingilia kati kuharibiwa kwa vijana.
 
Siku zote mtu kwenye matatizo yaliyomshinda huwa analazimisha kushare maumivu yake kwa kusingizia ama kuwapa lawama wengime.... Huyu mange kaachwa, jobless mpuuzeni she is the broke queen of social media
huyu tumuachie yule Le mutuz bas, maana hana jipya
 
Mange Kimambi zamani nilimuona ana exposure lakini baada ya kumfuatilia maandiko yake na kufanya uchunguzi kwa umakini nikagundua ni best looser ambae hatokuja kufanikiwa katika maisha , amejawa na wivu dhidi ya mafanikio ya wenzake , amejitenga kisiwani hana rafiki na hawezi kupata msaada kwa namna ya haraka , ni mtu ambae anaonekana kua na tabia za kiswahili na kishamba za kupakazia uongo kila aliemzidi kwa pesa na maisha.
 
Kuna kipindi nilikutana na Dada mmoja aliemtukana South Africa kwenye shopping mall maarufu joeburg nikamuuliza vipi huyu MTU mbona anakuchafua sana akanieleza kua huyu mwanamke nilianza kumfadhili kitambo kwa vipesa vya kumfichia aibu town baada ya kusitisha kumpa ndio alianza nongwa na akanambia alipofika yeye Mange hapaswi Kufungua kinywa chake labda akabishane na housegal wake anaempikia S.A
 
Sasa hapo kinachokutatiza wewe ni nini haswa? .... sidhani kama hata ww ungekua mwanaume ungemkataa zari ......
 
Habari zenu wakuu..

Mm binafs nimekuwa mfuasi mkubwa wa Mange kimambi kwasababu anafichua ukweli uliojificha katika jamii.

Kwa miaka mingi zari amekuwa akimficha mtoto wake wa kwanza ambaye amemzaa akiwa shule na kudanganya umma kwamba yule ni mdogo wake. Sasa mambo yameharibika mange kashamwaga Mchele.. Na pia zari Hana miaka 36 Kama watu wajuavyo Ana miaka zaidi ya 40 ..

Kwa hali hiyo mtoto wa zari anamzidi babake wa kambo Mwaka mmoja.[emoji23] [emoji23] [emoji23] daah nimecheka Sana baada ya kutembelea page ya mange, swali limekuja kwann zari aongope kwamba zuleha sio mwanae? Bali mdogo wake?

Nimewawekea picha hapo chini[emoji116] [emoji116]
[/IMG][/IMG]
Kama huyo mtoto ana miaka 28 Zari ana miaka mingapi? Alimzaa akiwa na miaka mingapi? Zari ana sababu gani ya msingi kumficha mwanae ikiwa alimzaa hata kabla ya kuwa na Diamond? Bado sioni tija ya kuonesha huyo ni mtoto wake na alimficha.

NB nilisikia Zari ana miaka 35!

Sasa kama utapiga mahesabu utagundua ni uongo au lah
 
Kama huyo mtoto ana miaka 28 Zari ana miaka mingapi? Alimzaa akiwa na miaka mingapi? Zari ana sababu gani ya msingi kumficha mwanae ikiwa alimzaa hata kabla ya kuwa na Diamond? Bado sioni tija ya kuonesha huyo ni mtoto wake na alimficha.

NB nilisikia Zari ana miaka 35!

Sasa kama utapiga mahesabu utagundua ni uongo au lah
hawajaweka vyeti vya kuzaliwa hapa, zari anaweza kuwa na umri 'WOWOTE' anaotaka....
 
Hata sayansi mbna ona katana umri uo asking mzmaa tfa.namaansha menopause
 
huyu mwanamke wasipomwangalia anaweza kujiua maana anakoelekea pabaya .....mtu gani huyu anatumia nguvu hivi kusema mambo ya uwongo?
 
Habari zenu wakuu..

Mm binafs nimekuwa mfuasi mkubwa wa Mange kimambi kwasababu anafichua ukweli uliojificha katika jamii.

Kwa miaka mingi zari amekuwa akimficha mtoto wake wa kwanza ambaye amemzaa akiwa shule na kudanganya umma kwamba yule ni mdogo wake. Sasa mambo yameharibika mange kashamwaga Mchele.. Na pia zari Hana miaka 36 Kama watu wajuavyo Ana miaka zaidi ya 40 ..

Kwa hali hiyo mtoto wa zari anamzidi babake wa kambo Mwaka mmoja.[emoji23] [emoji23] [emoji23] daah nimecheka Sana baada ya kutembelea page ya mange, swali limekuja kwann zari aongope kwamba zuleha sio mwanae? Bali mdogo wake?

Nimewawekea picha hapo chini[emoji116] [emoji116]
[/IMG][/IMG]
Hahaha kashakufa moyoni mwake bado tuu mwili utulie, yaani ana wivu na chuki kwa waliomzidi maisha,, what a looser
huyu mwanamke wasipomwangalia anaweza kujiua maana anakoelekea pabaya .....mtu gani huyu anatumia nguvu hivi kusema mambo ya uwongo?
 
Back
Top Bottom