Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Disko Ntwara bana
Ndani Ntiti, nje Ntiti
Ndani Ntiti, nje Ntiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
likiwezekana itabidi liwe ajabu la kwanza la duniaView attachment 368203 Hivi inawezekana kweli #5 amzae #3??
Duuuuh.....Basi itakuwa balaa....
Mdogo wake na zari wa mwisho ni wakiume kwa maana hiyo huyo #3 ni wakiumeView attachment 368203 Hivi inawezekana kweli #5 amzae #3??
Duuuuh.....Basi itakuwa balaa....
kwani umeambiwa huyo apo ndiyo wa mwisho kuzaliwa? pengine huyo wa kiume wa mwisho alikuwa hajazaliwa? timu mange mnashida sana.....Mdogo wake na zari wa mwisho ni wakiume kwa maana hiyo huyo #3 ni wakiume
Hizo picha tu mkuu maana hata ukiangalia hiyo picha huwez kutambua kwamba hicho kichanga ndo zulehaView attachment 368203 Hivi inawezekana kweli #5 amzae #3??
Duuuuh.....Basi itakuwa balaa....
Bora umeongea ww mkuu watu wabishi alaf huyo zuleha Ana mtoto nae kwahiyo zari ni grand ma[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mdogo wake na zari wa mwisho ni wakiume kwa maana hiyo huyo #3 ni wakiume
Yaani stress zitampeleka kubaya,na asipokuwa makini atanyang'anywa hadi watoto,kweli nimeamini yule dada hana akiliView attachment 368067
@baby_ake - HHahahha jamani watu wanaumbuka sio mchezo ivi unajua nna jiuliza mtu una muapia mungu kabisa uongo ivi uogopi jamani Nataka kujua Zari alimzaa Zuleha akiwa na miaka mingap
Mlokuwa mananiambia nna amdika vt sivijui naona mnaanza kunisoma eti nnajua chimbuko la Zari mnazani mim ni mkurupukaji
Zari inabidi uingie kwenye kitabu cha record sasa kwa wale walio kuwa wanase,a zari ana miaka 41 sasa naona mmeanza kupaya picha kwamba ninuongo zari ana miaka 35 mwaka huu aa timiza miaka 36 so awezi kumza zuleha mwenye miaka 28 lije jua ije mvua kije kipindu pindu kije kisonono Zari kumzaa Zuleha ni ajabu la 8 la dunia mtoto wa miaka 8 kuzaa... so you guys do better acheni kumshuudia mtu uongo unahapa na miungu yoote duniani asa apo Zari kamzaeje mtu na ata nanyonyo hana alimyonyesha nn na alimtolea kwenye uc*i gani akati alikuwa ata penselu aiingii
Ila wakina Zari wamefanana jamani apo ukiniuliza Faith,sijui Zara au ashu simjui wamefanan iyo picha ni b4 yule mtoto wa kiume aja zaliwa
Yule mtoto wa kiume ndio wa mwisho na sio Zuleha tena Zuleha si ajabu akawa ni wa 3 kutoka mwisho Zara akawa na dada yake
$$$$%%%%%#$$%&&+$$&++%%%+
Haya wewe kama unasema unajua udaku wa kufata na kuingiwa na stresi za mtalakwa ambae ex-mume wake analala na rafiki yake mzimbabwe ambaye anamuogopa kumpaka ili asigungwe. Na sasa kaamishia kutunga uongo wa Zari...
Haya hao sisters hapo, kwa hiyo Zari kamzaa huyo dogo hapo hiloooooooo eeeeeehhhh
Wachambuzi wapo wamechambua kale ndimu
Saizi anadai eti wazungu hawana joto[emoji23] [emoji23] wakati mwanzo aliwaponda wanaume weusi.Mange hadi umemtukana mama yake Zari kuwa ni mzee asingeweza kuzaa mtoto wa umri huo, na kumuongezea umri Zari huku unajua huyo mdogo nae ana mdogo wake wao wa kiume...kweli talaka mbaya tena ukijijua unaishi kwenye mitandao hadi ukasahau kuwa mke na kuachika...
Eeeh na ile eti mzungu anakuzimia wewe celeb unajulikana mbona bado kakurushia talaka chungu haswa...haya kalalie vibabu...achana na Zari...ambaye hata mapaparazi wa uganda ni pesa tu wanamsaka kumtumbua wapi...hongera kwa kumuongezea umaarufu
Kamjaribu shosti wako mzimbambwe anamla mumeo sasa hivi akumalize umamuogopa hiloooo...wivu tu umekujaaaaaa
Ex-mume na Ex-shosti wako hao...watafute wao kama una mishipa tuone kwanza wewe mtemi, sio kumtafuta Zari kwa wivu wa pia kumtamani Diamond.
View attachment 368074
Kasema yy ana mtoto mmoja wa kike ambaye ni Tiffah,ila kwa hili ningekuwa mm ningempa mange kiki apunguze stress,ningesema yes Zuleha ni mwananguHahahahaaaaa hii issue imetoka Uganda, kama kawaida Mange ni daraja.Mbona Zari kahojiwa hajakanusha?
Hata kupewa talaka alipinga kwa nguvu zote "mpare hawezi kupewa talaka" sa ivi hana jinsi anakubali she is the single mother baada ya watu kuyajua ya kwake piaSaizi anadai eti wazungu hawana joto[emoji23] [emoji23] wakati mwanzo aliwaponda wanaume weusi.
All in all kanikera kumwita mama wa Zari "Hiki Kibibi"
Alitumia nguvu nyingi kupinga mwisho wa siku kichwapanziiiii kamuumbuaHata kupewa talaka alipinga kwa nguvu zote "mpare hawezi kupewa talaka" sa ivi hana jinsi anakubali she is the single mother baada ya watu kuyajua ya kwake pia
Weka cheti chake cha kuzaliwa ......mbna mnamchafua huyo dada ili iweje....mnalazmisha vitu vya kijinga kuondoa stress zenuMkuu umeelewa neno," ZAIDI?" Yaan zaidi ya 40
Stress zinawatesha sana timu vigodoro na hivi maisha yamewapiga hawana jipya....hizi nguvu wanazotumia wangefanya harambee wakomboe gari la boss waoKama huyo mtoto ana miaka 28 Zari ana miaka mingapi? Alimzaa akiwa na miaka mingapi? Zari ana sababu gani ya msingi kumficha mwanae ikiwa alimzaa hata kabla ya kuwa na Diamond? Bado sioni tija ya kuonesha huyo ni mtoto wake na alimficha.
NB nilisikia Zari ana miaka 35!
Sasa kama utapiga mahesabu utagundua ni uongo au lah