Tetesi: Zari Ana mtoto wa 1988

Tetesi: Zari Ana mtoto wa 1988

Mpiga Zumari hapa kaingia cha Kike bora angejitafakari kwanza kabla ya kurusha huu Ubuyu ,kapoteza haiba yake kwa kasi sana kumshambulia Zari,hajui Mond ana mashabiki lukuki daah kakosea sana.
 
Kwa muonekano wa Zari hata wangeniambia miaka 60 kwangu isingekuwa big deal! Maana bado mbichi
 
Bora umeongea ww mkuu watu wabishi alaf huyo zuleha Ana mtoto nae kwahiyo zari ni grand ma[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaha huyo zuleha nae muda si mrefu atakuwa maarufu Hapa bongo alafu humu JF watu watasajili team kwa ajili yake kama ilivyo sasa na team zao.

#teamZarri
#teamZuleha
#teamAlikiba
#teamDomo
#teamWema
#teamMange
#teamMange's-X-husband
#teamMangeDiaspora




GREAT THINKER HOYEEEEE
 
mfuac wa mangeeee?????? lekibibizzz gagula kichawizzz
 
Hahahaha huyo zuleha nae muda si mrefu atakuwa maarufu Hapa bongo alafu humu JF watu watasajili team kwa ajili yake kama ilivyo sasa na team zao.

#teamZarri
#teamZuleha
#teamAlikiba
#teamDomo
#teamWema
#teamMange
#teamMange's-X-husband
#teamMangeDiaspora




GREAT THINKER HOYEEEEE
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] oyeeee
 



Kwa ajili ya kideo na huyo anayedakia habari na kuongelea upup.u humo

Ndio maana watanzania watangazaji badi hawavuki mipaka haswa wa udaku... Wajifunze kazi wambea wakubwa

zulehah-1469311248470.jpg


Huyo baby ndio Zuleha kabebwa na Dada yao, wa kulia Mrs. Zari Diamond akiwa na umri wa miaka saba. MPO??????

Lyrics za mdogo mdogo eti nini?? Kama...
Wanawivu hao hao.....

Malizia eeeeh na badooooooo tunasoma ur upu.pu ka hamna yenu.... Eeeeeeeh
 
Hakuna tatizo lakini kwann amfiche? Amwite her little sister?[emoji780] [emoji780] [emoji780] [emoji780] [emoji780]

Pole yako ndimu zipo, tena weye wa mara mika fulani halafu unajishusha baada ya miezi unakuwa mdogo...eeeeh na bado acha wivu....kasake zako...eeehhhh

Ngoja nikarudie kusoma juu yako...aaaagh
 
Huyu hapa mtoto wa ZARI
 

Attachments

  • SHOT1.jpg
    SHOT1.jpg
    8.8 KB · Views: 50
Pole yako ndimu zipo, tena weye wa mara mika fulani halafu unajishusha baada ya miezi unakuwa mdogo...eeeeh na bado acha wivu....kasake zako...eeehhhh

Ngoja nikarudie kusoma juu yako...aaaagh
Na hii hapa Cameraman?
 

Attachments

  • SHOT2.jpg
    SHOT2.jpg
    19.2 KB · Views: 55
Hakuna tatizo lakini kwann amfiche? Amwite her little sister?[emoji780] [emoji780] [emoji780] [emoji780] [emoji780]
Kwakweli beautifulonyinye siwezi kujua sababu za yeye kumficha huenda ni mwanae kweli au simwanae...ukweli anao yeye na ndugu zake...ana muonekano mzuri yet hata ungekua na watoto saba hakosi mwanaume wa kumchezesha sebene
 
Back
Top Bottom