Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwani shida iko wapi jamani tumbo si lakehuyo zari nae kama ana mimba kazidi watt hata mmoja hajafika secondary kakazana kuzaa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani shida iko wapi jamani tumbo si lakehuyo zari nae kama ana mimba kazidi watt hata mmoja hajafika secondary kakazana kuzaa tu
Issue za kuchoropoa ni uzushi uliopitiliza cuz' suala la ujauzito nililifahamu b4 BET Nomination na kama kungekuwa na suala la sintofahamu kati yao basi wala nisingefahamu kwa huo wakati kv issue ilikuwa haijatoka nje! Na mbeya mwenyewe alikuwa very excited na hiyo mimba na ni part of inner circle... delivered message kwangu ilikuwa ni kwamba Dangote is excited too!Hii habari imesukwaaaaaaaaaaaaa
Asante kwa ufafanuzi maana watu wanajiropokea tu, am excited too! Baby boy loading.......Issue za kuchoropoa ni uzushi uliopitiliza cuz' suala la ujauzito nililifahamu b4 BET Nomination na kama kungekuwa na suala la sintofahamu kati yao basi wala nisingefahamu kwa huo wakati kv issue ilikuwa haijatoka nje! Na mbeya mwenyewe alikuwa very excited na hiyo mimba na ni part of inner circle... delivered message kwangu ilikuwa ni kwamba Dangote is excited too!
Kazi unayo...Kick za kibongo hizi sijui zitaisha lini isipo kuwa updated kwa media unapotea hahahha
So wengi deal imekuwa mahusiano na mibibi
Hivi hakuna vitu vingne vya kufanya ili ujulikane?
Kama music wako mzuri huwezi kutoka mpaka ujizalilishe na mibibi ?
Huwezi fanya shughuli za kijamii ukajulikana au ndo uwezo wa kufikiri Mdogo kwa wasani wetu ?
Ni kaupumbavuuu fulani kwa sani wa Bongo [emoji15] [emoji15]
And I admire Zari... ni mwanamke wa kisasa ambae kv alivyo ingekuwa ndo hawa wengine basi ingekuwa ni full kuchoropoa so as to maintain the beauty! Mosi, Zari amekuwa darasa kwa wanawake wenzake kwamba you can still be beautiful hata kama una mahaba na labor! Wapo wanaoamini kwamba anachukulia kuzaa kama uchumi huku wakisahau you don't need several children kujihakikishia some ownership ya kile alichonacho mwanaume but even one child is enough!Asante kwa ufafanuzi maana watu wanajiropokea tu, am excited too! Baby boy loading.......
Usiamini hata punje hizo habari za eti Diamond anataka hiyo mimba waichotoropoe!Hivi huyu Diomond anataka mungu ampe gunia la chawa. Pumbavu kabisa.
Mumylicious[emoji4]Daah! Huyu mwanamke anapenda kuzaa. Nadhani hii ni hobbie yake kubwa.
Mwenzio katoa dawati 700 wewe hela ya mshikaki wa utumbo tu inakupiga chengaKick za kibongo hizi sijui zitaisha lini isipo kuwa updated kwa media unapotea hahahha
So wengi deal imekuwa mahusiano na mibibi
Hivi hakuna vitu vingne vya kufanya ili ujulikane?
Kama music wako mzuri huwezi kutoka mpaka ujizalilishe na mibibi ?
Huwezi fanya shughuli za kijamii ukajulikana au ndo uwezo wa kufikiri Mdogo kwa wasani wetu ?
Ni kaupumbavuuu fulani kwa sani wa Bongo [emoji15] [emoji15]
Nimecheka sana tena...Mwenzio katoa dawati 700 wewe hela ya mshikaki wa utumbo tu inakupiga chenga
Yeye ana PhDhivi Zari kiwango chake cha elimu ni level gani?