Tetesi: Zari anasa mimba nyingine, Diamond amshawishi aichomoe

Tetesi: Zari anasa mimba nyingine, Diamond amshawishi aichomoe

Kumbe huyo diamond ni pimbi kiasi hicho.Utamlazimishaje mamsapu atoe mimba.Hovyo kabisa,haijalishi mtoto wao wa kwanza ana umri gani.
Mi ndo nimeshangaa sana , mtu utapandaje bila condoms na kusia kisha mazao yanaota halafu unabaki kujishangaa. Tatizo la usanii ni kupenda bata zaidi
 
Hesabu kweli mama mkwe.
Kama alizaa mtoto miezi nane ilopita na sasa kaikwaa mimba sasa kuzaa si baada ya miezi tisa uyo wa kwanza atakuwa na miezi 17 yaani mwaka na miezi mitano almost nusu.
Kamua Diamond ingawa watoto wakipishana miaka miwili ndo shega
Si wamesema ina miezi minne now.
Kwa hyo huyo tiffah atakua na miezi 13 mtoto mpya akizaliwa.
 
Sasa kama alitafuta sana watoto kwa nini atake kuitoa mimba hiyo wakati anao uwezo wa kuihudumia hadi kupitiliza? (assuming all this is true, of course).
 
Kwa vyovyote vile hii siri atakuwa kaitoa yule yule Hamonawizer tu.
 
Diamond Apache ufala amuulize Beckham,kanye madem zao wanazaa kila mwaka, huo ndo uanaume
 
Mondi anajua kufanya promo balaaa. ...hapo anawaandaa mjae kwenye birthday party ya Tiffah
 
Sawa tumesikia....sio mbaya lakini. Labda bidada Zari anataka apige shaashaa na kukamilisha ratiba mapema. Maana jua lake linakaribia kuzama
 
Wanataka diamond azae hovyo na kila mwanamke km baba yake...dadake esma kila mtt na babake..mamake dai.kila mtt na babake...wamuache zari amzalie uzao mmoja khaa...
 
Back
Top Bottom