Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Jun 18, 2016 #81 Duu dada anapenda kutotoa huyu....!
Njowepo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 9,710 Reaction score 2,240 Jun 21, 2016 #82 Mtanzanika said: Si wamesema ina miezi minne now. Kwa hyo huyo tiffah atakua na miezi 13 mtoto mpya akizaliwa. Click to expand... Dada yuko kibiashara zaidi ingawa ni nadra mastaa wa level yake kuzalishwa kwa interval fupi kama izo. Anyway ana malengo yake watajua yeye na familia yake
Mtanzanika said: Si wamesema ina miezi minne now. Kwa hyo huyo tiffah atakua na miezi 13 mtoto mpya akizaliwa. Click to expand... Dada yuko kibiashara zaidi ingawa ni nadra mastaa wa level yake kuzalishwa kwa interval fupi kama izo. Anyway ana malengo yake watajua yeye na familia yake
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 50,587 Reaction score 71,492 Jun 21, 2016 #83 aibu ipii sasaaa kama wamezaa hawajafunga ndoa wanapata aibu gani sasa wehu kwelii
gfsonwin JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 18,272 Reaction score 20,692 Jun 22, 2016 #84 ora said: huyo zari nae kama ana mimba kazidi watt hata mmoja hajafika secondary kakazana kuzaa tu Click to expand... Ana uzazi kama wa mama kleini hapa
ora said: huyo zari nae kama ana mimba kazidi watt hata mmoja hajafika secondary kakazana kuzaa tu Click to expand... Ana uzazi kama wa mama kleini hapa