Zari Arusha Dongo gizani

Zari Arusha Dongo gizani

Inauma jamani, afu ukute mwanamke anafanana kimalay* malay* [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Yan ichi kikongwe kabisa we ndo unamuona mzur wkt anambemenda kijana mwenzetu wa tz
Tatizo unaangalia picha zake yani zmepigwa pic100 af inachukuliwa1 lzma umuone mzur
Bongo kna watt wazur zaid yake ye nwenyewe anajua ndo maana anajistukia
M ni mwqnaume so sfanani na zari

Simchukii cs haniusu lkn ni mon'go kama ma mon'go wengine tuu
Ila huu n mtazamo wangu tuu[emoji116] [emoji116]


Wivu utakuua.....kula ugali wako ukalale tu. Wema ndiyo wa kumshindanisha na Zari kweli?
 
Wivu utakuua.....kula ugali wako ukalale tu. Wema ndiyo wa kumshindanisha na Zari kweli?
Sjamtaja wema mm .....kwanza hawafani wema ni kijana na hajazaa so hawafanani
Hiyo video umeiona? Umemuona alvo kigagula?
 
Zari awatupia dongo wabaya wake, akiwananga vimada wa mzazi mwenzie, diamond platnums na kuwaambia its familia time hivyo hawana nafasi kwa sasa
380099e58be78d275d7f9f8af87eeee2.jpg

Wanawake roho zinawauma umu doh
 
Mswahili mwenzetu Diamond ndo ameandika ivo kwa kutumia simu ya Zari.. Huyo Zari hata neno Nyaku alijui
 
Angekuwa mwanamke wa maana si angepata ndoa huyo ni malaya tu kaopolewa
 
Haahaahaa, eti nyaku wasubiri, huyu bibie ingekuwa family anaiweza ndoa ingemshinda?! Hawezi ku handle mume anategemea uzuri wake, anajidanganya tu aende akafundwe ili ajue mume anahitaji nini, wala hata kuwa na hisia kuwa kuna nyaku anaweza kunyakua kitu yake., achilia mbali kuamini kuwa itafika nyaku time aachwe mwenyewe na watoto
 
Back
Top Bottom