dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Mkuu mbona sikuelewi. .una nini na WEMA?[emoji144]Hii ni kweli ni wakati wa Wema kuolewa na Diamond
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona sikuelewi. .una nini na WEMA?[emoji144]Hii ni kweli ni wakati wa Wema kuolewa na Diamond
Na Mond kapata uhuru flani amazing. .[emoji38] [emoji38]The good thing ni kwamba Diamond ataendelea kula mzigo, cause through my fuc**ng experience mwanamke uliyezaa nae HANA ujanja wa kukunyima gegedo
Anye maboga kabisa na atapike mafenesi[emoji23]Kufa kabisa tutakuzika wenzio ni sherehe
Sasa ni wakati wa kugawana Mali
Mond sifa zake zitamdondosha sana
Nafikiri kasema hana neno, yuko tayari kuwa mke mwenza.sijaambua kitu na kinyantuzu changu naona diamond tu
sasa mbona muoaji mkuu nabii tito wanataka kumfunga?
Huyu mwanamke Alikosea sana kuolewa na Yule dogo, dogo bado mshamba wa mademu anahitaji Kula wengi atosheke ndipo aoe!
Ndio maana daimond alikuwa hataki wafunge ndoa kabisa
Kwa muda waliokaa pamoja ni ndoa tayari kisheria.
Hata wewe mwanamume akikuchukua mkaishi wote kwake baada ya miaka kama miwili hio ni ndoa tayari na una hak ya kudai stahiki zako endapo utasumbuliwa na huyu mwenza wako
Mmh mbona kama povu..na ww pia ni mwathirika wa hili tukio?Happy for her afadhali sasa lile zipu mbovu afe mwenyewe na umalaya wake kile kibibi kimchekee tu mtoto wake kwa ufuska wake tunasubiri ushangiliaji haya wema danga lako hiloo mpira umerudi kwa kipa tutusa uwezavo
Utasikia Da Mange anasema kuwa alikuwa na taarifa hii toka mwaka jana sema hakutaka kusema.Da mange si wa mchezo.....
Hivi uhawala ni wa muda gani? nilisikiaga ukishakaa na mwanamume zaidi ya miezi 6 ni mumeo kisheria.
Hivi unadhani Mond akienda kwa Zarina hatapewa utamu? Hana hyo jeuriKucheat kumezidi!bora ajikalie pembeni,aepushe msongamano
Wp walikaa miezi 6 [emoji23][emoji23] ila inazungumzwa kulala na kuamka kwa uwo muda... wewe Leo uishi na demu au mwanaume mwaka then muachane uwende mahakamani useme uyu mke wangu au mume wangu nataka mali utachekwa na ulimwengu
Nyota ya Nasibu imeondoka!
Ndo mana mnang'ang'aniaga ndoa, ..yani utake ndoa na mwanaumd hakupendi?ili uje kuleta uzi auHana ubavu wa kumwacha Chibu yeye alibugi pale pale penzi lilipokuwa kwake angeng'ang'ania wafunge ndoa kwanza kabla ya yote hapo ndo kabugi. Na akifanikiwa ndoa drama zitakwisha.