Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Zari naye aliingia kwa mbwembwe sana katika mahusiano na dai, alikua hamjui vizuri dai.

Bora angerudi kwa mume wake Ivan kuliko kudate mond, alifanya mistake sana
Kajifunza.... kwingine atakoenda hatoingia kwa mbwembwe na atatafuta mtu mzima mwenye kujielewa ( huyo mtu awe tayari kuziba macho mitandaoni coz zari kajidhalilisha sana mavideo ya kihasara na diamond, ningekua mwanaume ni ngumu kumesa)
 
Kiki tu izo Hakuna ukweli hapo

Alf sisi watanzania sijui nani katuroga tunashindwa kujadili mada zenye mashiko tunaaza kujadili mapenzi ya watu

Hizo sio za Zari
Tangu wakati wa Ivan wengi tulimsoma drama zilivyokuwa moto hata ya Dai sio kitu.. imetoka hiyo bora kama hasingeandika.. ila kwa kuandika kaiweka brand yake iweze kusimama na kupaaaaa
 
Enough is enough. The Bosslady kaamua kubwaga manyanga. Kavumilia alivyoweza kaona isiwe tabu kaamua kuachana na Diamond. Naamuunga mkono na ninamsifu kwa uvumilivu...gooo goo Zari goooooo kisicho riziki hakiliki. Haya kazi ni kwa wale watafutaji nafasi iko wazi.
Naomba namba zake
 
The good thing ni kwamba Diamond ataendelea kula mzigo, cause through my fuc**ng experience mwanamke uliyezaa nae HANA ujanja wa kukunyima gegedo

Hahahaaaa “Blaza”inategemea mimi hanipi gegedo kaolewa na hataki mawasiliano kabisa mtoto mwenyewe kumuona naenda kumuonea shule weee acha kabisa
 
Hongera zake Zari kwa ule mjengo south Nasib ataisoma namba ile ni mali ya watoto na Zari. Alivyo na papara ajenge nyingine na Mabeto maana Madale ni guest house yakina Wema na wengineo.
 
Hahahaaaa “Blaza”inategemea mimi hanipi gegedo kaolewa na hataki mawasiliano kabisa mtoto mwenyewe kumuona naenda kumuonea shule weee acha kabisa
Kuna siku atakupa take it from me
 
Back
Top Bottom