Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Utashangaa madale patakua na ukame wa K mahusiano teh sometimes chengaWale wa kupishana madale guest wapishane sana sasa wapate hiyo ndoa... spot ipo tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utashangaa madale patakua na ukame wa K mahusiano teh sometimes chengaWale wa kupishana madale guest wapishane sana sasa wapate hiyo ndoa... spot ipo tupu
Kajifunza.... kwingine atakoenda hatoingia kwa mbwembwe na atatafuta mtu mzima mwenye kujielewa ( huyo mtu awe tayari kuziba macho mitandaoni coz zari kajidhalilisha sana mavideo ya kihasara na diamond, ningekua mwanaume ni ngumu kumesa)Zari naye aliingia kwa mbwembwe sana katika mahusiano na dai, alikua hamjui vizuri dai.
Bora angerudi kwa mume wake Ivan kuliko kudate mond, alifanya mistake sana
Kiki tu izo Hakuna ukweli hapo
Alf sisi watanzania sijui nani katuroga tunashindwa kujadili mada zenye mashiko tunaaza kujadili mapenzi ya watu
Naomba namba zakeEnough is enough. The Bosslady kaamua kubwaga manyanga. Kavumilia alivyoweza kaona isiwe tabu kaamua kuachana na Diamond. Naamuunga mkono na ninamsifu kwa uvumilivu...gooo goo Zari goooooo kisicho riziki hakiliki. Haya kazi ni kwa wale watafutaji nafasi iko wazi.
Nenda jukwaa la siasaWabongo bhana baada ya kukaa tukajadili namna ya kummaliza adui wa taifa letu ambaye ni CCM nyie mmekaa kujadili umbeya tu hao Zari na Mond wakiachana nyie mnaongezewa nini au mnapungukiwa nini acheni Ukuda
fake as u areItakuwa kuna nyimbo mpya wanataka kutoa.
Si unajua hawauzi Bila kiki
The good thing ni kwamba Diamond ataendelea kula mzigo, cause through my fuc**ng experience mwanamke uliyezaa nae HANA ujanja wa kukunyima gegedo
WoyooooooooHata kama sio kwani atasema siku zote amuache Leo baada ya Jana wazazi kupatana mahakamani
Kuna siku atakupa take it from meHahahaaaa “Blaza”inategemea mimi hanipi gegedo kaolewa na hataki mawasiliano kabisa mtoto mwenyewe kumuona naenda kumuonea shule weee acha kabisa