MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Unaweza kuta kusaga kwny huo uhusiano alikuwa ana own 80%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani zari alidhani dhambi ya kumuacha mume na kuchepuka na dogodogo ingemuacha salama? Machozi ya Ivan hayo bora angetulia na familia yake
Kwa taarifa yako "Mwanamke mzuri" HAACHWI, mwanamke mzuri anakuaga na tabia ya kumuacha MTU na maisha yake ili mradi yeye alinde heshima yake .Eti kamuacha ,,diamond alimuacha zamani tu zari Ndio maana vituko haviishii ,,,bora tu we mganda
??alafu nimekumention kule kwny uzi hujaona au dharau
Wote majina yao yanaanzia na herufi Z wametisha mwanamke kujiamini bwanaWeuweeeeeeeee safi sana!!!
[HASHTAG]#Zamaradi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Zarina[/HASHTAG]
Sio watu wa mchezo mchezo
Kwani ndoa ndio nini, si kuna talaka pia?Hana ubavu wa kumwacha Chibu yeye alibugi pale pale penzi lilipokuwa kwake angeng'ang'ania wafunge ndoa kwanza kabla ya yote hapo ndo kabugi. Na akifanikiwa ndoa drama zitakwisha.
Nmecheka sanaNaskia magazeti ya kesho yataandika HATIMAE TANZANIA YAACHIKA
Sio woteThe good thing ni kwamba Diamond ataendelea kula mzigo, cause through my fuc**ng experience mwanamke uliyezaa nae HANA ujanja wa kukunyima gegedo
KeshalishushaWatz heading inatosha story tutakupa....
Utaona Da mange atakavoshusha gazeti huko
Kwa muda waliokaa pamoja ni ndoa tayari kisheria.Alimuoa lini?