Adi hapa pia anashushwa?Nguvu kubwa inatumika kumshusha jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adi hapa pia anashushwa?Nguvu kubwa inatumika kumshusha jamaa
Brand ya kuzalisha nini?sio wema sepetu yule
wala brand yake si TZ tu
huwezi post hii kitu worldwide, ana fans nje y tz
uko wrong
Uwiiii mupnz kumbe na mm na vielement vya zariiii.........100% she is really a beautiful woman , pretty and awesome !!.
Kinachonifanya nimuelewe zaidiiiiiiii niuwezo wake Wa kiakili , and am amazed at how she handle stress am also amazed at how cute she is !!.
Chaaaaa Kila nikimuona zari.... Namfikiria Mima white cute [emoji122] [emoji122] [emoji123] !!.
Hahahaha pamoja na ubusy lkn hizo habari nilizipata tangu jana usiku.
Habari ndio hiyo, hata wewe ukizalishwa na mwanaume watoto wawili bila ndoa wewe ni "Enkyubeta" tu.[emoji3]Kuzalishwa kwani kabakwa?
Kwahiyo Wanawake sahihi ni wale waliozichomoa mimba??
Zari ameshawahi kuimba verse gani au chorus ipi kwenye album za Diamond?Chibu kapata hasara,amepoteza kipusa...na amejipoteza
MTU timamu aliyebahatika kuwa naye ni Zari,hao wote waliomzunguka Chibu ni opportunistic zaidi...
Diamond alishavunja uhusiano siku nyingi kwa kugeuza madale kuwa guest house huku pesa za kulala hotel yoyote anazo, ila huyo Bi Zari ndio amediclare breakup officially.Mimi sijaelewa hivi NI nani kati YAO alievunja uhusiano kwa mwenzie?
Usichokijuwa wewe Diamond ndio aina ya mwanaume anayekubalika sana kwa wanawake wengi.Diamond ni muhuni wa kutupwa.
Ingawa. Hawakuoana rasmi na Zari lakini walikuwa ma mahusiano ya kimapenzi ya wazi na wamezaa pamoja.
Kitendo cha Diamond kuchukua wanawake na kwenda kulala nao Madale chumba kile kile cha Zari ambako kuna chupi zake na nguo zake...huo ni uhuni ulopitiliza
Wanawake wanaojisigeza kuhaza nafasi walijue hilo kuwa huyu ni mhuni tu. Waingie aapate fedha
Nimecheka sana
Mhh....kwan Zar ndo nani?
Unaakili nyingi sana ndugu yangu. Yaani bila hizi kiki mond ni mweupeItakuwa kuna nyimbo mpya wanataka kutoa.
Si unajua hawauzi Bila kiki
This is where you loose your brain.Because of that bitch from Uganda?
This is a big joke.