Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
nlivowahi kushuhudia hyo siri nzito kumbe ni zle zle za shigongo
lazima wazae panya
Mwenye uwezo wa yote ni Mola haingiliwi, akiamua lolote mja yoyote hapangui! KAma ameandika zari na ndomo hakuna wakufuta kalamu yake na kama hajaandika hivyo pia.
Wivu wa kimapenzi tu huo.
Mara zote mwanaume akiachana na mwanamke hapendi kuona akifanikiwa.
Child bearing age ni 15-49 so it's very possible.
sema wewe mimi nilidhani alitolewa kizazi kumbe umri ! Mshamba kweli as long as anaafya Mwanamke yeyote anauwezo wa Kubeba Mimba mpaka 40+
Imekuuma eeh mie kusema hivyo? SAMAHANI SANA,lakini umetumia nguvu nyingi na maneno yasio khusu ungenifahamisha kiungwana ningekuelewa zaidi.......Asubuhi njema...........
sema wewe mimi nilidhani alitolewa kizazi kumbe umri ! Mshamba kweli as long as anaafya Mwanamke yeyote anauwezo wa Kubeba Mimba mpaka 40+
Huyo jamaa si mumewe tena.
Na anayosema sasa anayasema kwa sababu ya inda tu hivyo ni ya kuyaangalia kwa jicho la tatu.
Kwangu mimi huyo jamaa ana zero credibility.
Huyo jamaa si mumewe tena.
Na anayosema sasa anayasema kwa sababu ya inda tu hivyo ni ya kuyaangalia kwa jicho la tatu.
Kwangu mimi huyo jamaa ana zero credibility.